Nyumba ya kupanga inatafutwa

Nyumba ya kupanga inatafutwa

Mzee wa Torano

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
519
Reaction score
700
Husika na kichwa cha habari
Natafuta NYUMBA ya vyumba viwili, sebule ,choo na jiko

Au chumba sebule ,choo na jiko
Haraka sana ,inahitajika maeneo ya ubungo

Mwenye nayo ani PM ,tufanye biashara
 
Husika na kichwa cha habari
Natafuta NYUMBA ya vyumba viwili, sebule ,choo na jiko

Au chumba sebule ,choo na jiko
Haraka sana ,inahitajika maeneo ya ubungo

Mwenye nayo ani PM ,tufanye biashara
Mkuu umekumbwa na mafuriko nini?????

Ila huu ndo muda mzuri wa kutafuta nyumba ya kupanga,sababu ndo ukweli utauona kama kuna maji yanajaa au lah.
 
Mkuu umekumbwa na mafuriko nini?????

Ila huu ndo muda mzuri wa kutafuta nyumba ya kupanga,sababu ndo ukweli utauona kama kuna maji yanajaa au lah.
Hapana mkuu,ila natumia muda huu kupata NYUMBA, napoishi muda umeisha muhusika anataka NYUMBA yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom