Wanajamvi
Salaam;
Nahitaji tv yenye ukubwa tajwa aina yoyote,isiwe imechoka sana! Bei maelewano..! Mwenye nayo atume picha hapa na bei halafu aje inbox aweke number ntampigia!
Nawasilisha!!
Habarini,
Ni kweli wananchi wa Afrika hawana nguvu juu ya usimamizi wa sheria za nchi zao kwani Serikali za Kiafrika zinakandamiza haki za wafanyakazi kiasi kwamba Mfanyakazi anathaminiwa pale tu...
Wadau habari zenu
Naomba kuuliza kwa Dar es Salaam chuo gani kizuri cha ufundi, ufundi cherehani, upambaji au maswala ya saloon.?!
Wanapokea watu wenye qualification zipi
Na huwa wanaanza mwezi...
Wakuu habari ya Majukumu
Tuna tafuta business partner, kwa ajili ya kuwekeza kwenye kiwanda cha Kuassemble magari, kwa kutumia brand yetu.
Namaanisha kiwanda cha magari hapa Nchini, kwa kutumia...
Habari wanabodi!
Kila ndoto ya mzazi ni kutaka mtoto wake aje kuwa na mafanikio makubwa baadae katika maisha yake,ndio maana wazazi wengi wanajibana kuhakikisha watoto wao
wanapata Elimu...
Habari wadau;
Ninahitaji msaada kwa ambaye ni dereva wa malori yanayotoka arusha kuja dar yakiwa bodi.
nahitaji kufahamu gharama za kusafirisha kitanda 5 by6 na godoro pamoja na sofa ya watu...
Viwanja vyenye hati vya makazi kando ya mradi wa magari Kigamboni vinauzwa ,bei kuanzia mil 4.4 na kuendelea ,malipo kwa awamu hadi miezi 6b Wasiliana nasi kwa namba 0773833383 au fika ofisini...
Kwa yoyote mwenye mpango au lengo la kujenga karibu Yabesi Consult Co Ltd upate ushauri wa namna bora ya kujenga kuanzia gharama za ujenzi, aina ya ramani, gharama za vifaa, namna ya kupata...
Habari wana jukwaa!
shamba lenye lenye ukubwa wa hekari 17 LINAUZWA.
Shamba lipo mkuranga ( pwani region) kilometers 43 kutoka stand ya Mbagala rangi 3. ( nauli mpaka shamba ni tsh 2000)
Kituo...
Habari wadau: Nauza eneo langu binafsi ekari 2.5, lipo chalinze bwawani, umbali kutoka barabara ya lami ni mita 300 lipo katikati ya makazi ya watu, access ya umeme ipo na maji, eneo limepakana na...
HABARI WANA JF .NILIKUA NAOMBA MSAADA WAPI INAPATIKANA MIAMVURI YA BIASHARA KWA DAR AU MORO AU KAMA MTU ANAUZA BASI ANIAMBIE NIWEZE ICHUKUA KAMA HUO KWENYE PICHA
Wakuu habari za weekend. Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kiimfaacho mtu chake. Nauza Nyumba yangu ambayo haijaisha.
Sifa za Nyumba/pagale
-Ni Vyumba viwili, katikati ndio kuna sebule.
-Pagale...
Mahali:Malamba Mawili lami mpya ya kinyerezi km 6 toka Morogoro Road
Ukubwa wa eneo ni sqm 400
Bei 15 Million(haipungui)
Nyumba mpya
Vyumba 3 moja master, sebule, dinning na public na chemba...
Wakuu,
Naombeni msaada wenu.
Wapi nitapata bales za viatu vya mtumba vya kike/ kiume kwa bei nzuri.
Viatu viwe bora, nimefanya ka-research na kugundua ya watu wengi wanavaa viatu vya mtumba...
Mi ni mpenzi sana wa music hasa old schools. Napendelea sana music kutoka afrika na kidogo amerika hasa music wa miaka ya 70's, 80's na 90's. Cha ajabu nafurahi sana music huo nikiusikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.