Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanajamvi Salaam; Nahitaji tv yenye ukubwa tajwa aina yoyote,isiwe imechoka sana! Bei maelewano..! Mwenye nayo atume picha hapa na bei halafu aje inbox aweke number ntampigia! Nawasilisha!!
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habarini, Ni kweli wananchi wa Afrika hawana nguvu juu ya usimamizi wa sheria za nchi zao kwani Serikali za Kiafrika zinakandamiza haki za wafanyakazi kiasi kwamba Mfanyakazi anathaminiwa pale tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habari zenu Naomba kuuliza kwa Dar es Salaam chuo gani kizuri cha ufundi, ufundi cherehani, upambaji au maswala ya saloon.?! Wanapokea watu wenye qualification zipi Na huwa wanaanza mwezi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari ya Majukumu Tuna tafuta business partner, kwa ajili ya kuwekeza kwenye kiwanda cha Kuassemble magari, kwa kutumia brand yetu. Namaanisha kiwanda cha magari hapa Nchini, kwa kutumia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wanabodi! Kila ndoto ya mzazi ni kutaka mtoto wake aje kuwa na mafanikio makubwa baadae katika maisha yake,ndio maana wazazi wengi wanajibana kuhakikisha watoto wao wanapata Elimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau; Ninahitaji msaada kwa ambaye ni dereva wa malori yanayotoka arusha kuja dar yakiwa bodi. nahitaji kufahamu gharama za kusafirisha kitanda 5 by6 na godoro pamoja na sofa ya watu...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Viwanja vyenye hati vya makazi kando ya mradi wa magari Kigamboni vinauzwa ,bei kuanzia mil 4.4 na kuendelea ,malipo kwa awamu hadi miezi 6b Wasiliana nasi kwa namba 0773833383 au fika ofisini...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa yoyote mwenye mpango au lengo la kujenga karibu Yabesi Consult Co Ltd upate ushauri wa namna bora ya kujenga kuanzia gharama za ujenzi, aina ya ramani, gharama za vifaa, namna ya kupata...
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Habari wana jukwaa! shamba lenye lenye ukubwa wa hekari 17 LINAUZWA. Shamba lipo mkuranga ( pwani region) kilometers 43 kutoka stand ya Mbagala rangi 3. ( nauli mpaka shamba ni tsh 2000) Kituo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wadau: Nauza eneo langu binafsi ekari 2.5, lipo chalinze bwawani, umbali kutoka barabara ya lami ni mita 300 lipo katikati ya makazi ya watu, access ya umeme ipo na maji, eneo limepakana na...
1 Reactions
5 Replies
954 Views
HABARI WANA JF .NILIKUA NAOMBA MSAADA WAPI INAPATIKANA MIAMVURI YA BIASHARA KWA DAR AU MORO AU KAMA MTU ANAUZA BASI ANIAMBIE NIWEZE ICHUKUA KAMA HUO KWENYE PICHA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za weekend. Poleni na majukumu ya hapa na pale. Kiimfaacho mtu chake. Nauza Nyumba yangu ambayo haijaisha. Sifa za Nyumba/pagale -Ni Vyumba viwili, katikati ndio kuna sebule. -Pagale...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mahali:Malamba Mawili lami mpya ya kinyerezi km 6 toka Morogoro Road Ukubwa wa eneo ni sqm 400 Bei 15 Million(haipungui) Nyumba mpya Vyumba 3 moja master, sebule, dinning na public na chemba...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu, Naombeni msaada wenu. Wapi nitapata bales za viatu vya mtumba vya kike/ kiume kwa bei nzuri. Viatu viwe bora, nimefanya ka-research na kugundua ya watu wengi wanavaa viatu vya mtumba...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nahitaji msaada wa Wapi naweza kupata Mifuko ya Mazao ya plastic nitayonunua kwa jumla.. Bei ya kiwandani..anaejua plizz kwa maeneo ya Dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anae uza simu aina ya Samsung galaxy note 5 tuwasiliane kwa no 0688811110
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi ni mpenzi sana wa music hasa old schools. Napendelea sana music kutoka afrika na kidogo amerika hasa music wa miaka ya 70's, 80's na 90's. Cha ajabu nafurahi sana music huo nikiusikiliza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Imeuzwa!!!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nahitaji mtu aliepo Songea ambae anauza kingamuzi chake cha Startimes tufanye biashara ofa yangu ni 20,000 hadi 30,000 Mawasiliano 0754 085675
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Back
Top Bottom