Haya tena suluhu ya kuishi mabondeni.Nyumba nyumba 6 vingunguti kidarajani hapo kwa bei ya kutupa kwa wenyewe matatizo ya kusumbuliwa na mafuriko.Bei ya kuongeza kabisa.Ipo kweny eneo hilo la...
Nahitaji tanki la maji lililotumika la lita 2000. Aina iwe Simtank na liwe zima na lisilovuja wala kutoboka na bei yangu ni 170,000.
Kama unalo basi naomba unitumie namba yako ili nikutafute.
Thanks
Kwa hili alilofanya@officialalikiba leo la kuzindua kinywaji chake cha #MOFAYA DRINK kinampaisha vipi katika maendeleo yake binafsi na kimusic?
Sasa hapa najua Diamond atanuna kwa hichi kikubwa...
Habarini wakuu,
Nina pikipiki mbili mpya, SANLG na zishalipiwa vibali vyote.
Swali langu ni hili, je kuna makampuni ya courier services ambayo naweza kuwakodisha wakawa wananilipa kwa mwezi?
Au...
BE FORWARD Japanese car Expoter ni Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa magari madogo hapa nchini, wasiliana nao kwa namba zilizoambatanishwa hapa kwenye picha uweze kujipatia gari nzuri unayoipenda
Habari zenu wanajamvi, nimepata tenda ya uzoaji taka majumbani, natafuta gari ya kukodi msaada wanajamvi na kama kuna yeyote mwenye ujuzi kuhusu hili nitashukuru nikipata changamoto.
Nawakilisha.
Kama kuna mkaz wa Mwanza na maeneo ya Jirani unahitaji kuangalia mpira bila malipo ya Mwezi contact me
0659953382 sms or Whatsap
Nnauwezo mzuri wa kuweka kwa dish kuanzia 6ft ila vizuri zaidi 8ft
Jamani naomba msaada wenu ninabiashara ya maharage je nfanyeje ili kupata wateja katka sehemu za mashule hapa kahama mjini naomba msaada wenu wadau asanteni sana.
Habari wandugu
Natafuta mtu (mwenye bidhaa za nafaka kama Maharage,mahindi,choroko n.k) atakayekuwa ananisafirishia kwa bus kwa bei ya jumla. Mi napatikana DSM kimara. Kama unazo njoo pm tuyajenge...
Ndugu wana jamvi, nahitaji chumba cha kawaida , self maeneo haya,
Mikocheni, kawe, namanga, kinondoni, chama. Budget ni 100k.
Asanteni, nawatakia derby njema
Hello wadau..
Mm ni mkazi wa mwanza nilikua nauliza pakupata nafaka kama ulezi, soya, mahindi ya bisi na karanga kwa jumla.. (Hata mbegu za maboga pia!)
Anayejua plz anijuze na bei kabisa.. Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.