ZOLA tumekuja na bidhaa bora ya sola za majumbani ambayo mteja ataweza kulipia kidogo kidogo ndani ya miaka mitatu na kuweza kumiliki mtambo. Kama unaitaji ni PM kwa maelezo mengine na kujua...
Wakuu habari!
Naomba mwenye ujuzi wa machine ya kuchakata alizeti anaisaidie kupata taarifa kuhusu
1. Bei ya mashine na Wapi naweza pata
2.ufungaji wake
3.gharama za uendeshaji
Asanteni!
Agent wa kuuza bati za rangi na kawaida bati zetu zinatoka kampuni zifuatazo ALAF, DRAGON NA AFR-INA UNITED, Bei ni nzuri tupo buguruni chama or call 071328360 or 0718926320
Habari za kazi wajasiriamali wezangu.. kwa wale wanaohitaji mabanda bora( yenye design tofauti tofauti kutokana na eneo lako) kwa ajili ya kufugia kuku wa kienyeji.
faida ya haya mabanda...
PRINTER ZA KISASA KABISA TOLEO JIPYA INAPRINT KOTE KOTE NYUMA NA MBELE KWA PAMOJA,INA WIRELESS NETWORK, NI PHOTO PRINTER, UNAPRINT CHOCHOTE DIRECTLY KUTOKA KWENYE SIMU YAKO
Tunapatikana Kkoo...
Phone specification
Internal storage 16 Gb
Camera 16Megapixel both
Rom 3Gb
Fingerprint security
Full metal body
Adroid 7.0
Full High definition display
4G LTE network
4LED flash for low light...
INACHOMA NYAMA, KUKU, MIKATE, SAMAKI, MISHIKAKI, NDIZI, NK.
Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam pia mobile shop tunakufukia mpaka home hata mikoani tunawafikia agiza upate kwa wakati kwa nn...
nauza gita ya solo ni za nyuzi 5ziko mbili ni used
Toka denmark kwa moja ntakuzia 350,000/ Nna vifaa pia vingine vya mziki pia kwa wale wanahohitaji wanicheki hewani 0715591141 napatikana dar
Ova
brand hp
Processor intel
Ram: 4gb
Storage : 500gb
Condition : clean almost new
Accessories: charger na wire zake mbili za kuchomeka ukutani , moja ni mpyaaa haijatumika kabisa
0769 524 022.mobile...
Habari zenu wana JF!
Jipatie software maalumu itakayo kusaidia kutuma ujumbe mfupi, mmoja kwa watu wengi na kwa wakati mmoja.. Software hii itakusaidia kutoa taarifa kwa wateja wako na pia...
Ninatafuta mawakala mikoa yote kwaajili ya kusambaza bidhaa zetu. Hii ni nafasi kwako kujiajiri kwa mtaji mdogo saana njoo tuongee biashara kama upo serious tupigie: 0769112563 / 0658224994
Nauza viwanja viwili kwaajili ya makazi.
- Kimoja kina Ukubwa wa 33 x 20 na cha pili 33 x 30
- Kwa shilingi Milioni 6 kila kimoja.
- Vipo wilaya ya Hai (Bomang'ombe) km 1 kutoka Barabara kuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.