Chuo cha ufundi

Chuo cha ufundi

Mrs Gudman

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
613
Reaction score
1,300
Wadau habari zenu
Naomba kuuliza kwa Dar es Salaam chuo gani kizuri cha ufundi, ufundi cherehani, upambaji au maswala ya saloon.?!

Wanapokea watu wenye qualification zipi
Na huwa wanaanza mwezi gani
Kama una mdau yeyote mwenye chuo niunganishe naye
 
Jaribu VETA, sina hakika sana kama wanayo course ya ushonaji, ninachojua ni kwamba veta ni chuo cha ufundi
 
Labda ungesema unataka kusoma nini ili usaidiwe..veta short course zimegawanyika ktka level kwa hyo unaeza jikuta unasoma course moja miaka mitatu
 
Labda ungesema unataka kusoma nini ili usaidiwe..veta short course zimegawanyika ktka level kwa hyo unaeza jikuta unasoma course moja miaka mitatu
Kuna binti kamaliza form four matokeo si mazuri ataki kurudia anataka asome ufundi cherehani
 
Back
Top Bottom