SHAMBA KUBWA LENYE MATUNZO LINAUZWA.

SHAMBA KUBWA LENYE MATUNZO LINAUZWA.

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,665
Habari wana jukwaa!
shamba lenye lenye ukubwa wa hekari 17 LINAUZWA.
Shamba lipo mkuranga ( pwani region) kilometers 43 kutoka stand ya Mbagala rangi 3. ( nauli mpaka shamba ni tsh 2000)

Kituo cha kushuka ni mwalusembe na lipo karibu kabisa na barabara lami ( meter 800 kutoka kilwa road)
Huduma zote zinapatikana (Maji, umeme, zahanati na barabara)

ZIFUATAZO NI MALI ZILIZOPO NDANI YA SHAMBA
1. kuna nyumba mbili walizokua wanaishi wahudumu wa shamba.
2. Kuna banda kubwa la kuku
3. Kuna kisima kilichounganishwa na pump ya maji pamoja na tank la maji.
4. Kuna mipira ya maji iliyotandazwa kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji.
5. Na mwisho kabisa hekari zote 17 zimesafishwa ( zinalimwa) hivyo hakuna visiki wala pori.
Shamba LINAUZWA lote kwa hekari 17 (halikatwi kwa portion)
Sababu ya kuuza kwa mmiliki ni masuala yake binafsi ya kiuchumi.

Bei: 60m
Committed buyer you may contact
Via +255 756 832833

See the attachment below
IMG-20180428-WA0010.jpg
IMG-20180428-WA0014.jpg
IMG-20180428-WA0015.jpg
IMG-20180428-WA0019.jpg
IMG-20180428-WA0022.jpg
IMG-20180428-WA0013.jpg
IMG-20180428-WA0018.jpg
IMG-20180428-WA0012.jpg
 
Naona kama kuna mchanga mweupi VP kuna uwezekano wa kugeuza machimbo?
 
Naona kama kuna mchanga mweupi VP kuna uwezekano wa kugeuza machimbo?
Ukipata kibali kutoka serikalini inawezekana.
Huwezi ukachimba kiholela unless ni kwa mahitaji binafsi na si kwa biashara.
 
MPE mtu alime misimu miwili akulipe hela yako
USHAURI mzuri!
Ila nadhani mpaka mtu anaamua kuuza Mali yake atakua ameshaona options zingine hazina manufaa kwake.
 
Aliye tayari nimuunganishe na mmiliki, anashida sana (katingwa) na bei imepungua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom