Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

SHULE ILIOPO MBULU MANYARA INATAFUTA MBIA WA UENDESHAJI kwa Mawasiliano piga kwa Mkurugenzi wake +255 767 928167 / 0784 928167 / au fika shuleni hapo .nimeambatanisha picha ya sehemu ya shule
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana-JF, Katika kuuanza mwaka mpya wa 2018, nawashirikisheni jambo hili kuhusu Viwanja vilivyopimwa na vinavyouzwa kwa bei nafuu. Kuna viwanja vilivyopo Pangani-karibu na Stendi mpya ya...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wakuu, natafuta matairi ya kichina hivyo wauzaji jitokezeni naimani wanaohitaji watakuwa wengi pia.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama heading inavyojieleza hapo.. sio mbaya ukanipa lacation ambapo naweza pata. Ahsante.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Salamu wandugu. Hivi hizi mbegu za ma-apple ya kisasa nitapata wapi?. Nina mpango wa kupanda kwa majaribio maeneo ya Kilimanjaro. Asanteni.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele. Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana. Ndulele ndulele
0 Reactions
65 Replies
15K Views
habari wana jamii nauza laptop yangu nilotumia kwa mda wa mwezi mmoja. aina ya dell specification RAM 2GB, HARD DISK 160GB, SPEED 2.5, WALANTEE YA MWAKA 1. nakila kitu unapewa kama charger na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dell LATITUDE E6230 Core i5 3320M 2.60ghz 4gb ram 500gb Hdd 5hrs battery Intel HD graphics 1.5gb 12.5" screen size BEI Tzs 300000/= 0777039477 Location MAKUMBUSHO STAND DSM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Acer laptop for sale comes with 2GB, 500 Hdd,,memory 128 .Haina sehemu ya kuweka disc .Price 420,000:00 Contact 0712652110 Dar
0 Reactions
6 Replies
1K Views
*Habari za Mchana dears* _Heri ya mwezi mpya yaani mwezi June kwa mara nyengine tena_ *_Badili maisha yako kwa kuanzia na Sh elfu kumi tu_* Narudia ni *Tsh10,000 tu* ya kitanzania itakuwezesha...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Wakuu nahitaji gari aina ya IST, Passo au Spacio, namba D itapendeza zaidi ofer itatokana na gari mana najua hizo hapo juu zinatofautiana bei, pia kama kuna ambayo kati ya hizo haijasajiliwa bado...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota dyna tani 3.5,engine 4b,GARI ya Kazi fully vibali,popote unanusa,GARI ya Kazi ipo Dar mitaa airport,milioni 15 kama ni mnunuzi usiogope bei wanaume wanaongea.tuwasiliane inbox
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Simu aina ya Lenovo K5 inauzwa,ipo ktk Hali nzuri na haina tatizo lolote.Imetumika miezi 6. Sababu ya kuuza ni matatizo ya kipesa. Specifications RAM-3GB Internal Memory-32GB Processor 1.8GHz
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa madirisha bora na ya kisasa ya Aluminium, partitions na milango karibu Perfect Aluminium Fabricators. Tuna bei nzuri na kazi ya uhakika. Ofisi zetu ziko Dar es Salaam Salasala Karibu na Kanisa...
1 Reactions
45 Replies
16K Views
Tunanunua Landrovers za zamani iwe nzima ama mbovu katika hali yoyote ile tutumie picture kwenye whatsap number 0769968626, tupo mwanza lakini popote ilipo tuambie
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Maximum Range - 3,419 nm Maximum Cruise Speed - 419 ktas Maximum Passengers - 12 Useful Load - 14,419 lb Takeoff Field Length - 4,198 ft PM me for more info 27billions.
1 Reactions
63 Replies
7K Views
Nyumba nzuri ya ya kisasa inajitegemea kila kitu Ipo Sinza, Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo Master, choo cha public, sitting room, dining, tiles, gypsum, sliding windos, paving Blocks, car...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
PeMS ni mfumo ambao unauwezo wa kuhifadhi kumbukumbu za mauzo pamoja na kucontrol stock jumlajumla,rejareja na kwa kutumia bima. Huu mfumo unaweza kutumika kwa njia mbili. 1.kwa kutumia...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
AMIS is web based system which designed to handle all Academic Institution information include both colleges and schools. AMIS Feature. Here are just a few list of the available features 1.Store...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nahitaji nyumba kubwa kwaajiri ya kufanya hostel ya backpackers maeneo ya Dar es salaam ; Kigamboni, Mikochen, kinondoni na Mbezi yote...
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Back
Top Bottom