Zimetumika hpa hapa mjini sababu ya kuuza ni gari inatarajia kusafir masafa marefu unaenda Kenya then Uganda ndio maana zimevuliwa zipo moroko airtel kama zinavyoo onekana hapo ziko poa sana...
Tukiwa kwenye mkakati wa kuifanya brand ya "made in tanzania" kuwa ya kipekee kampuni yetu ya if you know you know inakuletea bidhaa mbali mbali kama tshirt, pen, band, wallet, na keyholder kwa...
young_mesult 14:07 Today
oi wadau nahitaji playstation 3 iwe inacheza games za memo,bajeti 400k tsh.
pia kama mtu ana ps2 nazo zinacheza games za kwenye flash nahitaji,bajeti 100k tsh.
Wazima humu?
Jamani naomba mwenye kujua bei ya gunia la ufuta kipind hiki cha mavuno na wastani wa bei ya kuuzuia katika soko kipindi ambacho sio cha mavuno. Natanguliza shukrani.
Habari wakuu
Kama kichwa habari apo juu, nanunua mazao hayo kwa bei nzuri, kama unakuanzia 500kg mpaka tani 20,nicheki pm tuzungumze biashara
Natanguliza shukrani
Cell No; +255766687168
Kwa wale wafugaji na wanunuzi na wauzaji wa kuku wa kienyeji na kisasa tukutane hapa
Weka aina ya bidhaa yako hapa ikiwa ni pamoja picha na umri kama ni kuku bei, mahali ulipo pamoja na...
Kwa vijana wanaohitaji kuapply mikopo mfumo ulishafunguliwa na Bodi ya mikopo. Kama unashindwa kuapply kwenye mtandao tunaweza kuwasiliana ili kusaidiana katika kutuma maombi online.Ukipata...
WAna board Hi,
naomba kuuliza,
naweza pata kwa kiasi gari lenye taarifa hizo hapo juu? (ie BREVIS 3000Cc Reg # ...DLL
Likiwa kwenye hali nzuri, 70000km
1.ACER
HDD 160GB
Process 1.60Ghz
RAM 2GB
KEYBOARD TO BE REPLACED
Battery life 3hrs
2.Dell D620
HDD 500GB
RAM 3GB
PROCESSOR 1.60Ghz
Battery life 3hrs
Zote nipe 550,000
Call/sms...
Habar,
kama wewe ni msanii wa kuimba karibu sana katika studio zetu za Moo Record uweze kupata ofa ya kurekodi wimbo wako kwa bei ya shilingi 60,000 tu na pia tutakusaida katika conection mbali...
Tunanunua Ufuta na Choroko kwa kiasi chochote ulichonacho.
BEI YA LEO
Ufuta: 2,600/= kwa kilo
Choroko: 1,100/= kwa kilo
Karibuni sana.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.