Msaada: Nitapata wapi Ndulele maeneo ya Dar

Msaada: Nitapata wapi Ndulele maeneo ya Dar

amita bacha

Senior Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
180
Reaction score
411
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele.

Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana.

Ndulele ndulele
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele.

Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana.

Ndulele ndulele
ndulele hili jina ni maarufu mkoa wa tanga.wengine huziita tura au tunguluja au tunguuja ni ktk famili ya Nyanya chungu(ngogwe) Lkn hizo ni ndogo.
 
ndulele hili jina ni maarufu mkoa wa tanga.wengine huziita tura au tunguluja au tunguuja ni ktk famili ya Nyanya chungu(ngogwe) Lkn hizo ni ndogo.
hahaha umenifurahisha. Nazijua kwa jina la la ndulandula
 
posta mpya pale makao makuu ya wizara ya mambo ya ndani zimejaa nyingi sana
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele.

Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana.

Ndulele ndulele
Utakua chalii wa kaskazini.
 
Mkuu daa,yani nilipo ss naziona.Nipo shamba nimevua shati napalilia mahindi mixer na karanga.Mandulele kibao, sijui nikutumie kwa bus
 
Za kazi gani acha uchawi wewe piga maombi kwa Bwana Yesu kila kitu kitaenda vizuri
 
Mkuu daa,yani nilipo ss naziona.Nipo shamba nimevua shati napalilia mahindi mixer na karanga.Mandulele kibao, sijui nikutumie kwa bus
Mkuu dah nazihitaji kinoma sababu ya jino

Kuna jino nataka niisafishe niliwahi mapema kabla halijaleta madhara ..mkoa gani upo kwani
 
Matatizo ya kuagizwa vitu na waganga wa kienyeji,VP hakukuagiza na mayai ya kanga?
Kwakuwa ni freedom of speech endelea kuongea joh unayoyataka

Hamna aliniagiza na maziwa ya faru nipo nayafuatilia pia
 
Back
Top Bottom