Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
Katika harakati za kujiinua kimaisha, watu wengi wajikita katika uzalishaji wa sembe na dona kwa matumizi ya binadamu kama chakula. Lakini kama inavyojulikana katika biashara package matters...
Napatikana kwa simu namba 0654352424 nipo Dar es salaam unaruhusiwa kukagua ni original kabisa zimetoka Dubai ni orginal
kwa alie na interests nazo anitafute kwa kuzikagua
Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.
Tunauza...
Nissan Note namba D, haina tatizo lolote
1300cc,
Millages 170,000Km
Ya mwaka 2005.
Bei 6.7M, mazungumzo ni madogo sana.
Njoo PM kwa mazungumzo
Ipo Mwanza,
Unaikagua mwenyewe au njoo na fundi...
iwe tecno J8 au samsung note 1 au S3 au sony Z1 au lumia 930 au lumia yenye window 10 nna 100000 cash nipo dsm 0787 429104
tuma sms au piga sipo online
AMD E SERIES DUAL CORE PROCESSOR
1.50Ghz PROCESSOR SPEED
4GB RAM
500GB HDD storage
15.8 inch screen
High definition display
Shared graphic card
2 usb 2.0 ports
Up to 6 hours...
Haya wana JF kwa mala nyingine tena Compuni yenu ya IHAM SOLAR POWER SUPPLIYER,tumeamuwa kuwaletea solar power kwa bei nafuu kabisa
kutokana na matatizo yaliyopo sasa ya umeme tumeamuwa kupunguza...
habari wana jf nauza software ya kugenerate theme yeyote ile kama vile theme ya drupal,wordpress,joomla,blogger,html5,magento,pretashop,virtuemart,bootstrap,woocommerce,na opencart
inagenerate...
SMD rework station 100,000 gun yake tu ilizingua
Fingerprint module for arduino 60,000
Speakers hizo 10,000
Motherboard hiyo utanipa 35,000
Mahali: kigamboni, Dar es Salaam
Karibuni
FAHAMU JINSI YA KUTIBU CHUNUSI .
-Ngozi za binadamu zina muundo sawa ila kitabia hutofautiana kulingana na experience za mtu huyo alizopitia,vyakula tunavyokula na msongo wa mawazo ya mtu husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.