Natafuta matairi ya kichina

Natafuta matairi ya kichina

kido madini

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
223
Reaction score
144
Wakuu, natafuta matairi ya kichina hivyo wauzaji jitokezeni naimani wanaohitaji watakuwa wengi pia.
 
matairi yapi hayo mkuu? ya baiskeli, pikipiki au gari? toa taarifa zaidi
 
matairi yapi hayo mkuu? ya baiskeli, pikipiki au gari? toa taarifa zaidi
 
matairi yapi hayo mkuu? ya baiskeli, pikipiki au gari? toa taarifa zaidi
 
Wakuu, natafuta matairi ya kichina hivyo wauzaji jitokezeni naimani wanaohitaji watakuwa wengi pia.
MATAIRI YANAYOTAFUTWA NI YA GARI LAKINI YAWE YA WAZEEE WA BAJETI

MAANA HAPA JUKWAANI KUNA UZI WA MATAIRI YA KIJAPANI KAMA BRIGDESTONE ET AL HIVYO WAUZAJI WA MATARI YA MAGARI HAYA MJITOKEZE KUTOA MSAADA
 
Nyie ndo mnasababisha shule za Kata zionekane hazina waalimu na hazikuwafundisha vizuri,unatafuta tairi za gari ndogo, kubwa size 13,14,15..... 22. Au ya Trekta?,usiweke tangazo Kama unajifunza kufanya biashara.Ukipewa nafasi kwenye shughuli yoyote au harusi utangaze biashara yako waweza ongea hizo bangi ulizoongea hapo juu tu?
 
Nyie ndo mnasababisha shule za Kata zionekane hazina waalimu na hazikuwafundisha vizuri,unatafuta tairi za gari ndogo, kubwa size 13,14,15..... 22. Au ya Trekta?,usiweke tangazo Kama unajifunza kufanya biashara.Ukipewa nafasi kwenye shughuli yoyote au harusi utangaze biashara yako waweza ongea hizo bangi ulizoongea hapo juu tu?
Mkuu hasira za maisha yako unazileta hapa jukwaani

Km adam na hawa walikula apple watu wapo na akili km zako je wangekula pilipili ingekuaje nawaza kwa sauti

Mtu huna hata biashara ya sambusa unataka kuuza vitu kwa hisia peleka huko

Haya wewe una tairi saizi gani huu uzi upo too general kwa ajili ya kesho na keshokutwa
 
Mkuu hasira za maisha yako unazileta hapa jukwaani

Km adam na hawa walikula apple watu wapo na akili km zako je wangekula pilipili ingekuaje nawaza kwa sauti

Mtu huna hata biashara ya sambusa unataka kuuza vitu kwa hisia peleka huko

Haya wewe una tairi saizi gani huu uzi upo too general kwa ajili ya kesho na keshokutwa
We naona unajifunza kutumia mitandao, mpaka sasa hujaelewa kinachopungua kwenye tangazo lako mbaya zaidi unajifanya unajua Sana kumbe mweupe.NARUDIA TENA UNATAKA TAIRI ZA GARI KUBWA, DOGO, SIZE 13,14,15..... 22.5 , NAMAANISHA SIZE ZA SUZUKI CARRY, PASSO, RAV 4, CANTER, YUTONG, AU TRACTOR?,AU hujui unachotaka umesikia tairi za kichina ni dili Sana bila kuuliza vizuri umekimbilia jamii forums kurusha tangazo?,. *Hapo kwenye herufi kubwa ili uelewe vizuri.
 
We naona unajifunza kutumia mitandao, mpaka sasa hujaelewa kinachopungua kwenye tangazo lako mbaya zaidi unajifanya unajua Sana kumbe mweupe.NARUDIA TENA UNATAKA TAIRI ZA GARI KUBWA, DOGO, SIZE 13,14,15..... 22.5 , NAMAANISHA SIZE ZA SUZUKI CARRY, PASSO, RAV 4, CANTER, YUTONG, AU TRACTOR?,AU hujui unachotaka umesikia tairi za kichina ni dili Sana bila kuuliza vizuri umekimbilia jamii forums kurusha tangazo?,. *Hapo kwenye herufi kubwa ili uelewe vizuri.
245/7016

285/60R18

195/65/15

195/70/15

Nipe bei
 
Back
Top Bottom