Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,348
- 26,144
Ndugu wana-JF,
Katika kuuanza mwaka mpya wa 2018, nawashirikisheni jambo hili kuhusu Viwanja vilivyopimwa na vinavyouzwa kwa bei nafuu. Kuna viwanja vilivyopo Pangani-karibu na Stendi mpya ya mabasi madogo ya Mailimoja ambavyo vinauzwa kwa shilingi 7000 kwa mita moja ya mraba. Pia, vipo viwanja vya Sofu, Picha ya Ndege vinavyouzwa kwa shilingi 6000 kwa mita moja ya mraba.
Mauzo ya viwanja tajwa yanasimamiwa na Halmashauri ya Mji Mdogo ya Kibaha. Malipo ni kwa awamu mbili. Hati za viwanja za kiserikali zinaandaliwa na zinatolewa baada ya mambo ya malipo kukamilika.
Kwa maelezo zaidi, tafadhalini wasilianeni na Mtaalamu wa Upimaji mwenye taarifa sahihi na njema ya viwanja hivyo kwenye nambari zifuatazo: 0768 171224 au 0673751175. Maisha ni kujipanga Wakuu!
Katika kuuanza mwaka mpya wa 2018, nawashirikisheni jambo hili kuhusu Viwanja vilivyopimwa na vinavyouzwa kwa bei nafuu. Kuna viwanja vilivyopo Pangani-karibu na Stendi mpya ya mabasi madogo ya Mailimoja ambavyo vinauzwa kwa shilingi 7000 kwa mita moja ya mraba. Pia, vipo viwanja vya Sofu, Picha ya Ndege vinavyouzwa kwa shilingi 6000 kwa mita moja ya mraba.
Mauzo ya viwanja tajwa yanasimamiwa na Halmashauri ya Mji Mdogo ya Kibaha. Malipo ni kwa awamu mbili. Hati za viwanja za kiserikali zinaandaliwa na zinatolewa baada ya mambo ya malipo kukamilika.
Kwa maelezo zaidi, tafadhalini wasilianeni na Mtaalamu wa Upimaji mwenye taarifa sahihi na njema ya viwanja hivyo kwenye nambari zifuatazo: 0768 171224 au 0673751175. Maisha ni kujipanga Wakuu!