Hi folks!
I have been reading your inputs and thought it is time to join this forum. You are all great! I hereby wish Peace as your gift at Christmas and blessing all Year 2010 through...
Nawasalimu nyote kwa unyenyekevu. Nimejiunga kujifunza na kuchangia kadiri ya weledi na ujuzi wangu. Na kubwa zaidi, natafuta wabia wa kujiunga nami katika biashara huru ya kimataifa.
mambo wanakijiji? Niliingia kijijini nikapewa ufungua tahamaki hamad ufunguo siuoni imenichukua busara kupata ufunguo huu sasa nadhani naweza kuingia na kutoka jamaa wamenipatia spea.
tutaonana...
Hi Wanakijiji,
mimi ni mpya hapa,na nafurahi kuwa hapa JF kama mmoja wa wana kijiji wa JF
Najaribu kutuma post hapa ya kujitambulisha sasa sielewi kama ni sehemu sahihi au tofauti ya...
kutokana na michango yenu yenyekuvutia,kelimisha na kufurahisha nami kijana wa makamo nimeamua kujiunga nanyi kuchangia katika yale nitakayokuwa na uwezo nayo kuyachangia.kwa namna itakavyokuwa...
Ningeliomba samahani kwa kuwa nimejiunga kipindi bila ya kujitambulisha kwa wana JF.
Mimi naitwa Mrfroasty, natokea Zanzibar na nilijunga na JF kama miezi 6 iliyopita na nimekuwa mdau tokea...
Hi Great Thinkers,
Na furaha isio kifani kujiunga nanyi siku hii muhimu.
Ikiwa imebaki siku moja kuadhimisha siku ya uhuru wa TANGANYIKA nawaomba mnipokee kwa mikono miwili.
Kwa kuwa...
Hello all members of JF:rolleyes:,
I want to welcome myself in this forum, I have been reading most of the posts and articles in this forum, i must say they are truly intriguing.
I look forward...
Jamani wana JF pamoja na Mods nilikua na pendekezo kuwa kama inawezekana ianzishwe navigation button nyingine ambayo itakua inaonyesha watu wote ambao wako online,mfano labda hiyo button inaitwa...
Heshima zenu mabibi na mabwana!
Nimekuwa nikisoma mijadara mbalimbali katika jamii forum na kiasi kikubwa inapanua uwezo wa kuelewa na kumfanya mtu kuwa na mtizamamo tofauti wa kile ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.