Ndugu WanajamiiForum, hamjambo? Mimi ni mgeni hapa, sana. Siku ya leo, Jumamosi 26 Desemba, 2009, ni siku yangu ya kumi (10) tu. Kwa hiyo bado sina hakika kama ninalotaka kuuliza linaulizika au...
Nimefurahi sana kujiunga na JF na ninatumai itanipa uelimisho wa kina na dhati kuhusu masuala ya kimaendeleo Tanzania. Pia nitapata nafasi ya kubalishana mawazo na wanaJF kwa yale ambayo nitaweza...
Habari wanajamii. ingawa nimejiunga kitambo kidogo, lakini samahanini niliingia bila hodi. unajua ni nini? nilishindwa kupiga hodi (ku-post thready) siku ya 1. si unajua tena kuku mgeni...
Hi folks!
I have been reading your inputs and thought it is time to join this forum. You are all great! I hereby wish Peace as your gift at Christmas and blessing all Year 2010 through...
Nawasalimu nyote kwa unyenyekevu. Nimejiunga kujifunza na kuchangia kadiri ya weledi na ujuzi wangu. Na kubwa zaidi, natafuta wabia wa kujiunga nami katika biashara huru ya kimataifa.
mambo wanakijiji? Niliingia kijijini nikapewa ufungua tahamaki hamad ufunguo siuoni imenichukua busara kupata ufunguo huu sasa nadhani naweza kuingia na kutoka jamaa wamenipatia spea.
tutaonana...
Hi Wanakijiji,
mimi ni mpya hapa,na nafurahi kuwa hapa JF kama mmoja wa wana kijiji wa JF
Najaribu kutuma post hapa ya kujitambulisha sasa sielewi kama ni sehemu sahihi au tofauti ya...
kutokana na michango yenu yenyekuvutia,kelimisha na kufurahisha nami kijana wa makamo nimeamua kujiunga nanyi kuchangia katika yale nitakayokuwa na uwezo nayo kuyachangia.kwa namna itakavyokuwa...
Ningeliomba samahani kwa kuwa nimejiunga kipindi bila ya kujitambulisha kwa wana JF.
Mimi naitwa Mrfroasty, natokea Zanzibar na nilijunga na JF kama miezi 6 iliyopita na nimekuwa mdau tokea...
Hi Great Thinkers,
Na furaha isio kifani kujiunga nanyi siku hii muhimu.
Ikiwa imebaki siku moja kuadhimisha siku ya uhuru wa TANGANYIKA nawaomba mnipokee kwa mikono miwili.
Kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.