Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Being a technologically challenged being, it took me this long to register, but it is really good to be here finally. Asanteni kwa kunikaribisha, Mtanganyikan mie.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hellow everyone,am glad to join and am prepeared to learn a lot kutoka kwa wanajamii wenye machungu ya nchi hii.:)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari waungwana. leo nimejiunga rasmi uwanjani hapa JF. ni matarajio yangu kuwa tutaendelea kuwasiliana na ndugu wote na kubadilishana mawazo na michango mbalimbali kwa maendeleo yetu kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nawasalimuni nyote kwa moyo mmoja, kaka zangu, baba zangu, mama zangu na wanawake wenzangu kwa ujumla. jamani, mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi. japo ni mgeni humo ndani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni wapi (studio gani) hapa Bongo ambapo unaweza kupiga picha kwa ajili ya Diversity Visa (DV-2011) Green Card Lottery tafadhali naomba kuuliza maana nataka kujaribu bahati yangu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
hello wanaJF,nami nimekuwa humu kwenye forum kwa muda kidogo kama miezi kadhaa hivi,lakini sikuwa nimejitambulisha,but nilikuwa nachangia mada kama kawa,so najitambulisha rasmi kwenu, asanteni
0 Reactions
1 Replies
984 Views
wandugu habari nimejiunga na forum hii maridhawa nahitaji ushirikiano wenu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Waungwana hamjambo?? Napiga hodi kwenu tafadhalini nipokeeni ni mgeni wenu kwenye Blog hii ya Jamii, ndiyo naja kwenu leo. Jamani nimekuwa mwanachama, nakubali hiki ni kisiwa cha fikra. Asanteni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi every1?Hopin ur all great,am a new member in writting though i hav been here for almost a year now!!!!!!!!!!!!looking forward to posts and commentin
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni vp wazee Mimi ndo geza ulole naingia humu ndani Wasifu wangu ni kutopenda ufisadi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
frankie,in,da,house
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mambo Vipi, KATT hapa na wasalimu wote natehgemea ushirikiano mzuri na wana JF wote. Thanks a lot.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Hi all!! I am a new joiner, hapy join the forum. thaaanks
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yes i can say JAMIIFORUM is really Home of great Thinkers, I join the Forum without compulsion of any one therefore its my keen interest and hoping to learn more, and sharing ideas. JAMIIFORUM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Na mie nimejitutumua kujumuika nanyi kimawazo, kujifunza na kufundisha mtandaoni. Natumai kuna mengi na wengi tutakao afikiana na kutoafikiana, ila kadri ya itavyokua tuweke mbele uungwana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba nijumuike nanyi katika kazi hii adhimu ya kukumbushana wajib, majukumu na haki zetu kama waTz bila kuoneana haya ili jamii isijelia na kusaga meno kwa kunyamaza kwetu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakulu, nimeamua rasmi kuwa mmoja wenu, hii yote ni katika jina la uwazi, ukweli, spidi na viwango msisahau kunikumbusha protokali ikiwa nitaenda ndivyosivyo
0 Reactions
81 Replies
9K Views
Naomba mnipokee katika kundi..... peace n' love!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
i just want to say hello to u
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi!
Nafurahi kwamba hatimaye nimefika mahali ambapo naweza kuchangia maoni mbalimbali hususasni yale muhimu kwa taifa au maisha.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom