Waungwana hamjambo?? Napiga hodi kwenu tafadhalini nipokeeni ni mgeni wenu kwenye Blog hii ya Jamii, ndiyo naja kwenu leo.
Jamani nimekuwa mwanachama, nakubali hiki ni kisiwa cha fikra. Asanteni...
Hi every1?Hopin ur all great,am a new member in writting though i hav been here for almost a year now!!!!!!!!!!!!looking forward to posts and commentin
Yes i can say JAMIIFORUM is really Home of great Thinkers, I join the Forum without compulsion of any one therefore its my keen interest and hoping to learn more, and sharing ideas.
JAMIIFORUM...
Na mie nimejitutumua kujumuika nanyi kimawazo, kujifunza na kufundisha mtandaoni. Natumai kuna mengi na wengi tutakao afikiana na kutoafikiana, ila kadri ya itavyokua tuweke mbele uungwana...
Naomba nijumuike nanyi katika kazi hii adhimu ya kukumbushana wajib, majukumu na haki zetu kama waTz bila kuoneana haya ili jamii isijelia na kusaga meno kwa kunyamaza kwetu
wakulu, nimeamua rasmi kuwa mmoja wenu, hii yote ni katika jina la uwazi, ukweli, spidi na viwango
msisahau kunikumbusha protokali ikiwa nitaenda ndivyosivyo
Habari zenu mabibi na mabwana, vijana na wazee.
my name is junior from Tanzania but i'm currentely lives in marloca spain, i just came-accros this board from my friends who recommends me to...
Hamjambo wanajamii? Nimefurahi kujiunga katika ukumbi huu wa Great Thinkers. Natumaini sote tutafaidika kwa michango mbalimbali. Nawatakia kila la heri kwenye kusukuma gurudumu la maendeleo ya...
Jina langu M-mbabe (mtumishi; adui numero uno wa fisadi's; sihitaji udiwani, ubunge wa uraisi). Nafurahi kujumuika na wanajamii kwenye wanja hili. Wanja hili liko juu!
Hodi Wanajamii,
I'm Qadhi,MBBS student outside Tanzania,glad to join,expect to learn alot from and exchange views with Great Thinkers.
Peace.
Call me Qadhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.