Huyu yuko innocent,(She is a real medical doctor, a psychiatrist, I know her very well) May be ameshazoea kutumia initial ya Dr. any where,especially for her patients!Karibu,
Are you a MD or PhD?
Does the "doctor" define you?
Utajisikiaje watu wakisema kwamba kujitambulisha kama doctor katika mazingira yasiyohitaji hilo ni kujishaua? Vipi kama kila mtu angejitambulisha kwa profession nyake, mzibua vyoo Juma, muashi Shabani etc, ingekuwa vizuri zaidi au ingekuwa chaos? Kama ingekuwa vizuri mbona watu hawafanyi hivyo?
Kuna watu wanasema doctors na lawyers wako overrated, na overration hiyo ndiyo inayosababisha watu kuona ujiko kuwa ma doctor na kujitambulisha kama "Doctor fulani" badala ya fulani, wewe unalifikiriaje hili?
Hivi body ya madaktari ikiku-delist utabaki kuwa Dr. Kaaya au utakua Kaaya tu?
Nauliza kwa sababu tulikuwa na debate ya umuhimu wa watu kuji introduce kwa titles zao.
Nothing personal, na usikonde wala nini, kama mwanasayansi/ mwanataaluma naamini unajua the value of critical analysis.
Hi members, my name is Sylvia and I am glad to be a member of the forum.
habari doctor kaaya
maana mko wengi madoctor kaaya
yupo Dr Kaaya TPDC
yupo DR Kaaya UDSM
Yupo Dr Kaaya Botswana
Natumaini utakuwa mmoja wa hao, l
Hi members, my name is Sylvia and I am glad to be a member of the forum.