Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
with smile la nguvu, hello to everybody out there at JF, I am new in this!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I just got into this site not knowing it was Tanzanian but said all the same, you're neighbors na ndugu zetu. Mimi ni mkenya na niko Kenya.Kwaherini.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
hello! guys naomba nianze mwaka kwa kujiunga nanyi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi
Im new here lets share our ideas.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waheshimiwa mabibi na mabwana Shushushu nimeingia msiogope sijatumwa na sirikali yeyote bali ni shushushu wa JF yaani natafuta mahabari na ma-breaking news kisha kuyamwaga hapa bila shaka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello every active member,i very much appreciate michango na uzito wa mijadala inayofanywa,nitajitahidi kuchangia au hata kutenda kulingana na michango ya wengi,ila muda kwangu ndiyo tatizo.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello! to all.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
am a new member to jamii forum i like discussion and criticism from the any body in any issues
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu upepo wa mageuzi ndo umeshanisukumia barazani ninapoanza mwaka mpya wa 2010. Bais nawatakieni kila la heri na fanaka katika mwaka huu na haswa kutimia kwa ndoto zenu kuu (na zangu pia) kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hello jf members,I wish u a happy new yr in advance
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi everyone Am a new member in Jamii Forum. Hope to share good moments 2gether. Kila la heri 2010
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF wenzangu! ninaitwa Nsajigwa napenda kujitambulisha kwenu kama mwanachama mpya. Napenda kubadilishana mawazo,tafadhari tupeane ujumbe wa aina mbalimbali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani mie ni mgeni mwenyeji, kwani ni siku nyingi nilikuwa mfuatiliaji wa mtandao huu lakini mwenzenu nilikuwa sijaamua kujiunga kutokana na kuzidiwa na masomo, nilikuwa bado nakariri ujinga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi to everyone. I write you from far far away- from Armenia. I came to this forum because I need to find where this phrase is from "To be able to do everything by knowing nothing is dangerous"...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
heshima yenu wakuu.baada ya kuwa mzururaji humu kwa muda mrefu nikaona na mimi nijiunge.nipokeeni basi jameni,makofi tafadhali!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu WanajamiiForum, hamjambo? Mimi ni mgeni hapa, sana. Siku ya leo, Jumamosi 26 Desemba, 2009, ni siku yangu ya kumi (10) tu. Kwa hiyo bado sina hakika kama ninalotaka kuuliza linaulizika au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Its just to say hello to all members of this forum coz its my first time. nawapenda wote, nitashukuru mkinikaribisha kwa nguvu zote. Ahsanteni sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefurahi sana kujiunga na JF na ninatumai itanipa uelimisho wa kina na dhati kuhusu masuala ya kimaendeleo Tanzania. Pia nitapata nafasi ya kubalishana mawazo na wanaJF kwa yale ambayo nitaweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamii. ingawa nimejiunga kitambo kidogo, lakini samahanini niliingia bila hodi. unajua ni nini? nilishindwa kupiga hodi (ku-post thready) siku ya 1. si unajua tena kuku mgeni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hi
i like cricket....... I like indian cricket team players sachin, Dhoni, and sehwag now..........
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom