Napenda kuchukua fursa hii kujitambulisha rasmi jamvini. Ni matumaini yangu mtanipokea kwa mioyo mikunjufu.Asanteni sana.
Karibu ndani....pita hadi chumbani.
tukutuku, mbona katavi anakaribisha wageni hadi chumabani hii ni mila na desturi ya kabila gani?
wahaya!
umejuaje wakati wewe si mhaya?
TUKUTUKU, Mbona Katavi anakaribisha wageni hadi chumabani hii ni mila na desturi ya kabila gani?