Habari zenu mliomo.
Nimekua mshabiki mkubwa wa jamvi hili lakini mara zote
nikiwa mtazamaji tu na kila nilipotaka kuchangia nazuiwa
kumbe nilikua mpitaji sasa naingia rasmi nipate kuchangia
na...
helllo everyone, there is a new girl in the forum and that happens to be me, i have been reading from this forum kwa muda sasa as a guest na t has been real interesting, so nikaamua kujoin.
It is...
Baada ya mpita njia kumuokoa mdada mrembo aliyekuwa katekwa walilala pamoja katika lodge moja maarufu huko Kahama.
Usiku huohuo mpita njia alimtamani mrembo kingono nakumueleza walibembelezana...
Niaje wana jamvi hili, muungwana mwenzenu najitambulisha jamvini kama mnavyoelewa waungwana jamvini huruhusiwi kuingia na viatu na wala kuingia bila hodi na salamu.
Naomba kuwakilisha wakuu.
Ni matumaini yng kuwa nyote mfresh kiafya kama niilivyo mimi. Kama yupo aliye kuwa hayupo hivyo, Mungu amuondoshee mtatizo yake. Baada ya kuwepo juu kwa muda mrefu huku nikiangalia na kujifunza...
Mimi ni mgeni katika forum hii,naomba kupokelewa natumaini nitaendelea kujifunza kutoka mada mbalimbali zinazopatikana katika forum hii toka kwa wajumbe.
Aksanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.