mafiakisiwani JF-Expert Member Feb 19, 2011 833 616 Feb 25, 2011 #1 Habari zenu wanajamii wenzangu mie ni mgeni nabisha hodi naomba kukaribishwa katika jamvi hili
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 25, 2011 #4 Karibu sana soma kwa makini sheria na kanuni za jamvi letu.
IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,385 Feb 25, 2011 #7 Karibu lakini usiwatetee watu wafuatao mkwere,lowassa,makamba,rostam,ridhiwan,pinda,membe na wengine wenye sifa kama za hao watu.
Karibu lakini usiwatetee watu wafuatao mkwere,lowassa,makamba,rostam,ridhiwan,pinda,membe na wengine wenye sifa kama za hao watu.
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Feb 25, 2011 #8 karibu sana jamvini na mie pia ni wa kisiwani.
mafiakisiwani JF-Expert Member Feb 19, 2011 833 616 Feb 26, 2011 Thread starter #9 asanteni wote kwa ujumla,nashukuru sana kwa mapokezi yenu.M/mungu awabariki
LoyalTzCitizen JF-Expert Member Sep 15, 2010 2,234 883 Feb 28, 2011 #12 Fungua tu mlango upo wazi! Ingia na karibu sana.