Hodi x3

Hodi x3

mafiakisiwani

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
833
Reaction score
620
Habari zenu wanajamii wenzangu mie ni mgeni nabisha hodi naomba kukaribishwa katika jamvi hili
 
Karibu sana soma kwa makini sheria na kanuni za jamvi letu.
 
Karibu lakini usiwatetee watu wafuatao mkwere,lowassa,makamba,rostam,ridhiwan,pinda,membe na wengine wenye sifa kama za hao watu.
 
asanteni wote kwa ujumla,nashukuru sana kwa mapokezi yenu.M/mungu awabariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom