Hodi x3

mafiakisiwani

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
833
616
Habari zenu wanajamii wenzangu mie ni mgeni nabisha hodi naomba kukaribishwa katika jamvi hili
 
Karibu sana soma kwa makini sheria na kanuni za jamvi letu.
 
Karibu lakini usiwatetee watu wafuatao mkwere,lowassa,makamba,rostam,ridhiwan,pinda,membe na wengine wenye sifa kama za hao watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom