Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi Guys,am just a New Kid on the Block. Hope tutabadilishana constructive ideas kwenye forum hii,thx!
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimekuwa nasoma habari zenye manufaa kutoka jamiiforums kwakweli nimevutiwa na michango yenu kwa mtu binafsi na taifa kwa ujumla. naomba nami kukaribishwa kujiunga bandugu
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jf mi ni mara ya kwanza kuingia hapa nimepapenda kutokana na mada au mijadala naombeni nijiunge masharti ni yapi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
I would like to greet you and informing that I am ready to share available important information and ideas. Sorry for being away for soo long. Cheerz...!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf,kwnza kabisa nawapongeza sn kwa kuleta mchanganuo wa kimaisha unaoendana na wakati uliopo,mm binafsi nimeguswa na mijadala inayokuwepo hapa.Naombeni mnipokee na kunipa mwongozo panapo...
0 Reactions
6 Replies
750 Views
wakuu nawapa hi!ndo nimezama humu ndani!
0 Reactions
5 Replies
917 Views
Waheshimiwa nami nimeona nitie timu, naomba ushirikiano wenu wakongwe
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Mimi ni Forgive,nimekuwa nikisoma Jamiiforums na nimeshawishika ni sehemu nayoweza kuwa na kukua kifikra na kiroho. ningependa kuwa mmoja wenu. Forgive
0 Reactions
13 Replies
1K Views
mimi naitwa BOTILO au bia,nimejiunga jf mana panasisimua,changamsha,wazisha,furahisha,chekesha na mengne yoote yaan huku hakuna balaa wala keleui,naomba kukubaliwa na wadau wote cjalewa sa hv jaman
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapendwa; Hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF, nimefikia uamuzi huu kutokana na umuhimu wa michango ambayo nimekuwa nikiipata na kuvutiwa na baadhi ya mada. Naomba niwasalimie wote...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Hi
Kwaheri...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
habari yenu bana, nawasalimu wote naomba kukaribishwa chumba hiki
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakubwa shikamooni, wadogo mamboz? Naomba mnipokee ili na mimi nikue nipate za kwangu na niweze kuwa Great Thinker, naamini pia hata kwa hatua niliyofikia mimi pia nitaweza kutoa mchango wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Shikamooni.mie mgeni humu ndani.natumai mtanipokea...
0 Reactions
7 Replies
938 Views
Wana JF naombeni mwongozo wenu tafadhali
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachama mpya ktk familia hii ya jf ambayo imevutia sana na kuamua kujiunga nayo. Jf inanipa habari latest na za kweli ambazo siwezi kuzipata kwingine. pia wana jf ni werevu kiasi kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hodi wanajamvi.I hope tutashirikiana katika kujenga na kuleta habari ambazo zitachangia kujenga taifa lenye maendeleo,umoja na mshikamano.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa mimi huwa nasoma hii Forum lakini sasa nimeamua kujiunga na watu makini, wenye mawazo ya kujenga hii nchi yetu ya Tanzania. Niweze kuchangia pia. Naomba kukaribishwa!!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni Bwanamatata, Nimejiunga na JF. All the best to all members
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salaam wana JF! Naombeni mnipe maelezo yatakayoniwezesha ku highlight original posts kwa ajili ya reference kama wafanyavyo wanajf wenzangu. Nimejaribu mautundu yote nimeshindwa. Natumia nokia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom