Nimekuwa nasoma habari zenye manufaa kutoka jamiiforums kwakweli nimevutiwa na michango yenu kwa mtu binafsi na taifa kwa ujumla. naomba nami kukaribishwa kujiunga bandugu
I would like to greet you and informing that I am ready to share available important information and ideas. Sorry for being away for soo long. Cheerz...!
Wana jf,kwnza kabisa nawapongeza sn kwa kuleta mchanganuo wa kimaisha unaoendana na wakati uliopo,mm binafsi nimeguswa na mijadala inayokuwepo hapa.Naombeni mnipokee na kunipa mwongozo panapo...
Mimi ni Forgive,nimekuwa nikisoma Jamiiforums na nimeshawishika ni sehemu nayoweza kuwa na kukua kifikra na kiroho.
ningependa kuwa mmoja wenu.
Forgive
mimi naitwa BOTILO au bia,nimejiunga jf mana panasisimua,changamsha,wazisha,furahisha,chekesha na mengne yoote yaan huku hakuna balaa wala keleui,naomba kukubaliwa na wadau wote cjalewa sa hv jaman
Wapendwa;
Hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF, nimefikia uamuzi huu kutokana na umuhimu wa michango ambayo nimekuwa nikiipata na kuvutiwa na baadhi ya mada. Naomba niwasalimie wote...
Wakubwa shikamooni, wadogo mamboz? Naomba mnipokee ili na mimi nikue nipate za kwangu na niweze kuwa Great Thinker, naamini pia hata kwa hatua niliyofikia mimi pia nitaweza kutoa mchango wa...
Mimi ni mwanachama mpya ktk familia hii ya jf ambayo imevutia sana na kuamua kujiunga nayo. Jf inanipa habari latest na za kweli ambazo siwezi kuzipata kwingine. pia wana jf ni werevu kiasi kuwa...
Wapendwa mimi huwa nasoma hii Forum lakini sasa nimeamua kujiunga na watu makini, wenye mawazo ya kujenga hii nchi yetu ya Tanzania. Niweze kuchangia pia. Naomba kukaribishwa!!
Salaam wana JF!
Naombeni mnipe maelezo yatakayoniwezesha ku highlight original posts kwa ajili ya reference kama wafanyavyo wanajf wenzangu. Nimejaribu mautundu yote nimeshindwa.
Natumia nokia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.