Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Ni matumaini yng kuwa nyote mfresh kiafya kama niilivyo mimi. Kama yupo aliye kuwa hayupo hivyo, Mungu amuondoshee mtatizo yake. Baada ya kuwepo juu kwa muda mrefu huku nikiangalia na kujifunza utaratibu wa humu, leo nimeamuwa ujumuika nanyi kwa kutaka kupata yaliyo mengi na bora zaidi. I hope tuko pa1 kuanzia sasa.