Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
nimekuwa nikifurahia mijadala na habari zinazotolewa ndani ya JF na Leo ndio nimejiunga rasmi... nawasalimu wote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ati wapo wabishao kuwa sipo kwenye mbloku! Aisee (I say) hebu wajuzeni bhana, wakateni ngebe zao!
0 Reactions
3 Replies
887 Views
napenda kuwasalimia ndugu zangu ,kwa muda mrefu nimekuwa nikisoma kwenye mtandao bila ya kuwa mwanachama ,nimevutiwa sana ni michango ya wanachama wa jamii forum ,imenisaidia nifahamu vitu vingi...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community. Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hi
jamani mi mgeni humu naomba mnipokee
0 Reactions
11 Replies
1K Views
WANAJF SAMAMU SANA!! Nimekuwa msomaji mzuri wa threads Mbalimbali ambazo kwa kweli zimenipa hamasa sana kujiunga na Jamvini na kwa kweli nimejiunga ninachotegema zaidi ni ushirikiano ambao...
0 Reactions
8 Replies
946 Views
Wiki mbili magazeti yaliandika dawa ya ukimwi imepatikana .katika blog mbalimbali zilikanusha na mpaka sasa cjackia tena na kulikuwa na ubishani mkubwa mtaani je ni kweli dawa hiyo imegundulika...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
mimi mgeni naombeni mnipokee
0 Reactions
5 Replies
851 Views
Hi naomba niulize , je wasomi wa hapa tanzania wanatumia elimu yao ipasavyo katika kuleta maendeleo ya nchi yetu?kama wanatumia ni kwanini katika secta nyingine kama vile wahandisi wengi wao ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hodi wana Jamii, naomba mnipokee katika jamii yenu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajf,mabibi na mabwana asalaaam aleykum,nipo ulingon tena kwani nilipigwa ban na ilipoisha I had to re-register,i mcd u a lot! This is ijuganyondo!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tupo pamoja nawapa hi wana JF
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasalaam magreat thinkers! Naomba mnikaribishe kwa mikono yote miwili na kwa moyo safi ili tuchangie mawazo katika jukwaa hili la siasa. Naomba nijue miiko ya humu ili nisije nikaivunja na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello wanajamii! Hodi hodi wana jamii forums, mimi ni mgeni wenu nimevutiwa sana na maissues yanayojiri ndani, naomba support yenu wakuu! Nawashukuru
0 Reactions
13 Replies
1K Views
habari zenu wana jamiiforum? Nimeamua kuja huku kwa ma great thinkers baada ya kutapa tapa kwa muda mrefu kwenye mitandao mingine ya kijamii ambayo imetawaliwa na majungu,mapenzi kabla ya wakati...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ng'iaaaa, ng'iaaaa, ng'iaaa, hojiii , hojiiiiii
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hi members, Its me a new member and I would like to greet you all....I have been a visitor for the last five years nad now am moving in...cheers
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hello great thinkers,i am a new member in the forum and would like to be part of the thoughtful minds in the society....i appreciate your contributions.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hi!
Niaje wakuu wangu,wa2 wenye vpaji na uwezo wa kufikilia,nipokeeni!nirekebisheni nikikosea,
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wana JF naomba mnikaribishe kwenye jamvi lenu
0 Reactions
6 Replies
942 Views
Back
Top Bottom