Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Umuofia kwenu wanajamvi, Nimekuwa nashangazwa na tabia za wanaume wenzangu ambao huwa hawachani nywele zao na hivo kuwafanya kuwa very rough and dirt guys. Hii inatokana na ubusy wa mtu au uchafu...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wapenzi nina nywele za asili ni ndefu sana, lakin nikichana sasaI hivi zina toka hadi mzizi, na juu zinakatika . je nikipaka extra virgin oil(olive) yatanisadia wenye nywele natural naomba...
0 Reactions
22 Replies
18K Views
Jaman wanajukwaa ,kwa anyefaham mafuta mazuri kwa ajil ya kutengenezea rough dread ,naomba anambia na pia jinsi ya kizitunza
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu. Kama nilivyo anza na kichwa cha habari mwenye ujuzi ama ufahamu wa kwanini nguo ugeuzwa ndani nje wakati wa kuanika baada ya kufuliwa? Nawakilisha
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na...
33 Reactions
555 Replies
96K Views
Nisaidieni aina ya body spray nzuri kwa wanawake ambayo inanukia vizuri na kwa muda mrefu,,nataka nimnunulie mke wangu! Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
67 Replies
39K Views
Ukuaji wa teknolojia umeongeza kwa kasi mabadiliko katika ujenzi wa nyumba zetu miaka ya nyuma wengi walipaka rangi cream au nyeupe kwa ndani tofauti na siku hizi ambapo rangi huchanganywa kwa...
1 Reactions
1 Replies
22K Views
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo...
32 Reactions
270 Replies
33K Views
Habari zenu wana jamii! Ninaomba kujua nini hasa dhumuni la mwanamke kuvaa shanga? Je wakati wa majambozi nini mwanaume anapaswa kufanya au kuzichezea vipi hizo shanga? Kama kuna ujuzi wowote...
1 Reactions
51 Replies
34K Views
Habari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini...
3 Reactions
32 Replies
6K Views
Wakuu, kama swali linavyojieleza hapo juu...Boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi kabla ya kufuliwa? Wanaume karibuni kutoa uzoefu na hata wanawake mnakaribishwa.
2 Reactions
259 Replies
32K Views
Msaada jamani hii lotion ina kazi gani mwilini wakuu?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nywele zinazovaliwa kila siku na kina dada na kina mama vina uhusiano mkubwa na maiti waliozikwa kisha watu kwenda kuchukua nywele zao makaburini au mahospitalini. Kinachoshanga zaidi ni kwamba...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Oga vizuri paka mafuta yako au lotion,na ujiache na mwonekano wako ukiwa natural,sio unajipiga varnish sijui polish,alafu unatembea ghafla mawingu yanatanda na kaumatone kwa mbaaali,[emoji1]...
5 Reactions
80 Replies
10K Views
Kumeibuka wimbi na vijana masharobaro kupaka rangi kucha na kuwaosha miguu wanawake zetu hii inapelekea kuchochea kuwatega wanawake maana wanalegea sana nakusisimka wanaposuguliwa miguu. Mimi...
0 Reactions
48 Replies
11K Views
Halow, Mimi ni kijana wa miaka 21. Nataka nianze kupiga gym but kuna tetesi nazipata kuwa kupiga gym katika umri mdogo kuna madhara. Naombeni ushauri but napenda sana kupiga gym.
1 Reactions
9 Replies
12K Views
Nimejitahidi kukaa na nywele kwa miezi sita, lengo ni kuzi-maintain ili nywele ziwe ndefu ndo iwe kama style yangu mpya. Kufikia sasa nimedhamiria kwenda salon kuzinyoa tu maana nimeshindwa...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Wadau samahani sana, Kuna mambo yananitatiza, wadada wanaoweka kucha bandia mikono yote miwili, uwa wanafuaje, kuogaje, kutawaza hapa watadai kuna toileti pepa na vipi papuu zinaogaje? Naomba...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za wakati mpedwa msomaji! yaweza kuwa mpaka sasa unajiuliza ni vigae gani unataka kutumia kwenye sehemu/vyumba vya jengo lako mfano sebuleni, jikoni, vyumba vya kulala, stoo, chooni...
3 Reactions
7 Replies
22K Views
Wakuu, Yaani ninaoga najisugua vizuri lakini nikipitisha mkono bado naona kuna vile vi uchafu vinatoka. Ni sabuni gani nzuri ya kuogea ambayo inaweza kuondoa uchafu wote? Naombeni ushauri wanabodi
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom