Habari wadau, poleni na majukumu ya siku nzima. Naomba kujuzwa juu ya hizi nywele za kipilipili. Je zinakuwa za kurithi(zipo katika genes zetu)? au lah.
nimeuliza hivyo kwa sababu binti yangu (2...
FAshenista wanaiita LBD(Little black dress)
mwanamke yyt anayependa kwenda na wakati lazima awe na gauni nyeusi kwenye wardrobe yake!
Gauni jeusi huweza kuvaliwa popote pale,sio kila mtoko...
Kwenye matukio maalum watu wanpenda kupendeza, wanapenda waonekane wamependeza mara nyingi watu hupendelea kuvaa vazi la suti ili kupendezesha zaidi muonekano wao.
Lakini suti sio vazi...
Je wajua kuwa licha ya kuwa manukato/uturi, pafyumu (perfumes) zina faida kadhaa kimwili ikiwa ni pamoja na tiba? Fahamu faida 8 za pafyumu
1. Ni tiba ya kutumia harufu (aromatherapy)
2. Harufu...
Wewe Dada wa Oriflame vipi jamani, kwani hayo matangazo yako ya Oriflame huwezi kuyaweka kwenye Uzi mmoja?? Chaaa
Kwa taarifa yako hata kama mtu angesoma hasomi sasa, nani anamuda wa kufungua...
Jaman eehee,
leo jumapili ndo siku ya kufanya maandalizi ya kesho jumatatu sio muda wa kuzungukaa mji mzima,
Basi jaman mkumbukeni kufuaa vijupi na visidiria kwa wanawake wennzangu na wale wavaa...
Kina dada naombeni msaada wenu, chupi nzuri za kike za pamba nazipata wapi hapa mjini Daslam.
Nataka kumnunulia mpenzi wangu chupi nzuri na bora kabisa ziwe zinanitunzia asali yangu...
Swali la kizushi hivi imetokea umevaa underwear, unataka kwenda mahali ukajicheki kwenye kioo ukaona haijakupendeza ukaivua je utaiweka kwenye underwear safi au itabidi uifue kwanza?
Unawezaje kumfanyia mtu makeup ya hovyo hovyo kwenye harusi yake jamani siku muhimu ambayo anatakiwa kupendezaa haswaaaa hadi muoaji akimuona anamsahau
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana...
Habari za muda huu wapendwa...
Kuna tatizo la sasa la wanawake baada ya kujifungua tu, utakuta mtu anafumuka kama anakula amira.
Mwaka jana mwezi wa 1 nilibahatika kupata baby boy lakini kwa njia...
Nyakati za leo ambapo uvaaji chupi kwa wanaume na wanawake uko juu sana kuanzia watu tunapokuwa watoto wadogo hali ya Afya ya viungo vya uzazi imeendelea kuwa mbaya sana.
Yafuatayo ni baadhi ya...
Habari wapendwa,
Kuna huu mtindo nauona kwa watu wa mjini Dar wakiongozwa na wasanii kuvaa miwani ya jua usiku tena hata kwenye kumbi za starehe na club.
Je ni ujanja au ulimbukeni nisaidieni...
*QUALITY ASSURANCE DRESS CODE FOR MEN*
Looking good is very important but how many men actually know what it takes to look good
*Here are 18 style rules every man should live by*
1. Your belt...
Huwa najiuliza wanawezaje? Wakati wa ujauzito mwili upo vile vile, akijifungua mwili upo vile vile, je hawali sana? Kama hawali mtoto anapaje maziwa?
Mfano Hamisa mobeto, napenda jinsi...
Kinadada wengi huangaika mara kwa mara kwa lengo la kuhitaji kuwa na nywele nzuri zenye muonekano mzuri kila siku, lakini kwa bahati mbaya sana si wote wanabahatika kufanikiwa kuwa na nywele hizo...
Hivi wakina dada hizo lipstick huwa zina nini aisee maana tukiwakiss huwa tunahara kweli, yaani unakuta bidada kajikandika lipstick kama karai la kuchamganyia udongo mfinyanzi!
Utasikia Just kiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.