Olive oil (extra virgin) yanafaa kupaka kwenye nywele natural?

Divine...

JF-Expert Member
May 22, 2015
1,615
3,117
Wapenzi nina nywele za asili ni ndefu sana, lakin nikichana sasaI hivi zina toka hadi mzizi, na juu zinakatika . je nikipaka extra virgin oil(olive) yatanisadia

wenye nywele natural naomba mniambie au mwenye kujua
 
kabla ulikua unatumia mafuta gani?
kwa uelewa wangu nywele zina stage kadhaa,mojawapo ni resting phase(hapa nywele zee nyingi hutoka na kua replaced na mpya zinazoota)
you should be more worried na hizo zinazokatika kuliko zinazong'oka na kimzizi)
 
kabla ulikua unatumia mafuta gani?
kwa uelewa wangu nywele zina stage kadhaa,mojawapo ni resting phase(hapa nywele zee nyingi hutoka na kua replaced na mpya zinazoota)
you should be more worried na hizo zinazokatika kuliko zinazong'oka na kimzizi)
Nilikuwa natumia radiant tu, tatizo hapa kwenye kisogo nywele zimekuwa fupi na zingine zinakatika na zingine mzizi pia zinatoka
 
Asante, nimeanza leo, nitaleta feedback baada ya miezi miwiliu

Napaka na mwilini pia nataka nione ngozi yangu itakuwaje,
Yaani utakuwa na nywele nzuri sana kupita awali, na utakuwa na ngozi nzuri mno ukitumia hayo mafuta ya mzeituni mpaka utajishangaa kuwa na ngozi nzuri.
 
Yaani utakuwa na nywele nzuri sana kupita awali, na utakuwa na nguzi nzuri mno ukitumia hayo mafuta ya mzeituni mpaka utajishangaa kuwa na ngozi nzuri.
Waoh! Asante sana, sitoyaacha kwakwel, nitakupa feedback naamin Mungu atanisaidia ktk hili cz nina nywele ndefu lakin ghafla nikaona zinang'oka ikabid nitafute haya mafuta lakin sikujua kama yanasaidia nywele
 
Waoh! Asante sana, sitoyaacha kwakwel, nitakupa feedback naamin Mungu atanisaidia ktk hili cz nina nywele ndefu lakin ghafla nikaona zinang'oka ikabid nitafute haya mafuta lakin sikujua kama yanasaidia nywele
Kama zimekatika sana tafuta castro oil upake kwenye ngozi yanasaidia sana kuboost growth. Olive inasaidia ziwe manageable na zenye afya
 
Waoh! Asante sana, sitoyaacha kwakwel, nitakupa feedback naamin Mungu atanisaidia ktk hili cz nina nywele ndefu lakin ghafla nikaona zinang'oka ikabid nitafute haya mafuta lakin sikujua kama yanasaidia nywele
Usisubiri mpaka nywele ziwezinakatika yatumie hata sasa kwa kupaka kwenye nywele utaona zinavyokuwa nzuri na kupendeza
 
Kama zimekatika sana tafuta castro oil upake kwenye ngozi yanasaidia sana kuboost growth. Olive inasaidia ziwe manageable na zenye afya
Zilikuwa zinaanza kukatika, so kuchanganya mafuta hayoto haribh nywele mpenzi?
 
Waoh! Asante sana, sitoyaacha kwakwel, nitakupa feedback naamin Mungu atanisaidia ktk hili cz nina nywele ndefu lakin ghafla nikaona zinang'oka ikabid nitafute haya mafuta lakin sikujua kama yanasaidia nywele
Yaani haya MAFUTA yanakuza hadi nywele yaani yafanye kuwa ndiyo mafuta yako ya mwilini na kwenye nywele na kukuza nywele hachana na mafuta mengine kabisa kama unataka positive response...
 
Ukiamua kutumia Mafuta ya Olive Oil yatumie hayo pekee usichanganye ili upate matokeo mazuri ya ngozi yako au nywele zako kuwa zenye afya na kukua vizuri.
 
Ukiamua kutumia Mafuta ya Olive Oil yatumie hayo pekee usichanganye ili upate matokeo mazuri ya ngozi yako au nywele zako kuwa zenye afya na kukua vizuri.
Asante, kwavile nimeyaanza ngoja niendelee nayo, yaan nitakupa feeback.
 
Nilikuwa natumia radiant tu, tatizo hapa kwenye kisogo nywele zimekuwa fupi na zingine zinakatika na zingine mzizi pia zinatoka
pole sana kwa hilo tatizo.sina historia ya kutumia hiyo radiant.ila ninayafaham.
mizizi inatoka hasahasa nywele zile za mbele usoni nahisi na katikati ndio zinakatika(nisahihishe ka nimekosea)
kwa knowledge nlonayo hayo olive waeza kutumia nywele zikaimarika ila kwa hizo zinazokatika/kutoka mizizi nakushauri utumie mafuta ya jamaican black castor oil ni mazuri kuboost ukuaji wa nywele kama member mwingine alivuokushauri huko mwanzo.haya mafuta ni mazito kwahiyo unapaka kwenye ngozi ya nywele.nayo ni ya asili wala hayatoleta shida ukiwa waendelea kutumia ya olive kwenye nywele.
ukilala kama hutumii kofia au scarf uanze kutumia (silk au satin)material laini ya kuteleza,inawezekana unalalia kisogo bila kofia hali inayopelekea nywele kua kavu matokeo yake kukatika kirahisi.(kofia/scarf inatunza unyevu kwenye nywele)hivyo haikatiki kirahisi.
 
pole sana kwa hilo tatizo.sina historia ya kutumia hiyo radiant.ila ninayafaham.
mizizi inatoka hasahasa nywele zile za mbele usoni nahisi na katikati ndio zinakatika(nisahihishe ka nimekosea)
kwa knowledge nlonayo hayo olive waeza kutumia nywele zikaimarika ila kwa hizo zinazokatika/kutoka mizizi nakushauri utumie mafuta ya jamaican black castor oil ni mazuri kuboost ukuaji wa nywele kama member mwingine alivuokushauri huko mwanzo.haya mafuta ni mazito kwahiyo unapaka kwenye ngozi ya nywele.nayo ni ya asili wala hayatoleta shida ukiwa waendelea kutumia ya olive kwenye nywele.
ukilala kama hutumii kofia au scarf uanze kutumia (silk au satin)material laini ya kuteleza,inawezekana unalalia kisogo bila kofia hali inayopelekea nywele kua kavu matokeo yake kukatika kirahisi.(kofia/scarf inatunza unyevu kwenye nywele)hivyo haikatiki kirahisi.
Asante sana nashukuru
 
Back
Top Bottom