Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kuna demu wangu amenitaka nipake make up kwenye birthday yangu, mimi nimekataa Sasa amenuna anasema mimi ni mshamba, mimi kupaka make up huwa naona kama ushoga hivi, hivi ni kwangu peke angu au...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kuna haya mapenzi mubashara ya mume na mke. Au hata wapenzi, sanasana wale wanaokaa nyumba moja hupendelea kuchaguliana nguo ya kuvaa kwa ajili ya kazini, kusafiri, mitoko ya jioni. Kuna...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
=> Vyakula unavyokula hubeba 80% ya mapambano ya kupunguza uzito. Kula vyakula vya wanga kama viazi, wali na ugali siku ambazo utafanya kazi au mazoezi magumu tu ili kutoongeza uzito/unene. =>...
2 Reactions
27 Replies
12K Views
Inatakiwa Kuvaa Na Kupendeza Kokote Kule Usafi Muhimu Sanaa
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Sirudii tena huu upuuzi. Kwa mara ya kwanza tangu niijue hii dunia leo ndio nimefanya scrubb. Leo jioni niliingia saloon sijui mnaita baba shop nilienda kwa ajili ya kutengeneza nywele na ndevu...
12 Reactions
135 Replies
22K Views
Lijitu zima kabisa linatoka kwake Mkewe na Watoto wake wanamuona kabisa jinsi alivyounyuka / alivyopendeza na Vazi lenye ' heshima ' kubwa duniani na nahisi hata huko Mbinguni pia la ' Suti '...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
Hii kitu naiona sana pwani kwetu bara ni vitu vyakigeni hata sielewi maana yake
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Wasalaam, kutokwa na jasho ni kitendo cha kiafya ila ikizidi inageuka kero na kukosesha amani. Huwa najisikia ovyo sana kuona nguo yangu imeloa jasho sehemu ya kwapani kwa jua la sasa yani nguo...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Historia ya kupaka rangi kwenye midomo kwa kusudi la urembo inaonyesha kuwa jambo hili lilianza zamani sana na inasemekana kuwa lilianzia huko Misri. Wanawake wa Kimisri wakati huo walikuwa...
3 Reactions
9 Replies
7K Views
Naomba kusaidiwa kuhusu sifa za kuitambua kanga original
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina. Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana...
6 Reactions
270 Replies
54K Views
Wakuu msaada apo mwenye kufahamu zoezi la kutengeneza shingo tafadhali
1 Reactions
57 Replies
15K Views
Habari za mda huu sasa kuna ttz moja huwa linanisumbua nywele zangu hazikui kabsa yaaani lkn nimejrb kutmia dawa ya kuza bado ziko hivyo hivyo ombi langu kwenu kama kuna mtu anajua dawa nyngn za...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Kuna maelfu ya perfume madukani, lakini sio perfume zote ni nzuri kwa kila mtu, kwa hiyo ni muhimu kuchagua perfume ambayo itamfaa mtumiaji ili kuepuka disappointment. Perfume unapoinusa...
9 Reactions
9 Replies
8K Views
Mahitaji Mchele nusu kikombe Nyanya moja Baking powder Saga mchele upate unga ,changanya na vijiko viwili vya baking powder ponda nyanya nayo changanya huo mchanganyiko jipake kwenye kwapa...
5 Reactions
16 Replies
14K Views
Nataka kubuild body bt naanza na juu kwanza,lakini watu wanantisha niongeze ratiba ya mlo,eti wale mabode byulda msaada plz...,na ukiweka na aina ya zoezi la kupiga sio mbaya,na mda wa kuona...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaaam Moja kwa moja kilicho nifanya niandike Uzi huu Ni hii hali au tabia ya wadada wanao tumia mikorogo yaan mafuta ya kujichubua ngozi Unakuta mdada alikua mweusi Kama chungu cha maharage...
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Tui la nazi lina protini na mafuta ambayo vitasaidia kope zako kukua na kuwa ngumu zaidi. Matumizi ya mara kwa mara ya tui la yatasaidia ku-nourish na condition kope zako. Weka tui la nazi katika...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom