fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,408
- 7,961
Mimi hupenda sana utanashati, kuvaa vizuri yaani nguo safi, imepigwa pasi vizuri, mpangilio wa kuvaa nguo, viatu na mkanda wa kiunoni, nguo sio za gharama sana, hata mitumba navaa ila napangilia vizuri sana
Usafi wa mwili naoga asubuhi na nikiwa kazini huoga mchana baada ya kula na kupiga mswaki
Jumatatu navaa shati jeupe,suruali nyeusi, mkanda wa kiunoni brown na viatu brown.
Jumanne navaa suruali grey,shati blue bahari,mkanda mweusi na viatu vyeusi,
Jumatano navaa suruali brown, shati yellow ya kupauka mkanda tonney red na viatu tonney red
Alhamisi navaa tshirt orange,cadet suruali ya blue bahari, mkanda a bit blue na viatu aina ya raba navyo ni blue
Ijumaa navaa shati damu ya mzee,suruali ya khaki,mkanda black na viatu black
Jumamosi hatuendi kazini so navaa kawaida tu kazini kwetu hakuna dress code
Sent using Jamii Forums mobile app
Usafi wa mwili naoga asubuhi na nikiwa kazini huoga mchana baada ya kula na kupiga mswaki
Jumatatu navaa shati jeupe,suruali nyeusi, mkanda wa kiunoni brown na viatu brown.
Jumanne navaa suruali grey,shati blue bahari,mkanda mweusi na viatu vyeusi,
Jumatano navaa suruali brown, shati yellow ya kupauka mkanda tonney red na viatu tonney red
Alhamisi navaa tshirt orange,cadet suruali ya blue bahari, mkanda a bit blue na viatu aina ya raba navyo ni blue
Ijumaa navaa shati damu ya mzee,suruali ya khaki,mkanda black na viatu black
Jumamosi hatuendi kazini so navaa kawaida tu kazini kwetu hakuna dress code
Sent using Jamii Forums mobile app