Habari za wakati huu ndugu zangu wa bara na visiwani, mashariki ya mbali na magharibi pia...
Mara nyingi nimekuwa nikilisikia hili swala kuwa wanawake wengi huvutiwa na wanaume wanaonukia zaidi...
Nilikwenda mlimani city kwa Mara ya kwanza mwaka 2007 nikaoneshwa mkufu wa dhahabu nilitoa macho kiasi kwamba ukimpa msichana kama zawadi lazima umuoe,kwani unang'aa kama jua linachomoza au...
Wasalaam akina Mama, Madada na Mabinti. Nawasalimia katika jina la Urembo, na Umaridadi. Ama baada ya salamu kwenu ninyi , Mabinti wa Afrika, Ma-MALIKIA wetu sisi wanaume wa Kiafrika... Naomba...
Mada inajieleza,huo mchezo mjomba wangu alikuwa ni master huko china zaidi ya miaka 30.aliporudi Tz akaanza kunifundisha nikiwa na miaka 5 mpaka miaka 27 na Sasa nina miaka 30 hakuna kitu...
Tujuzane sasa.
Hivi ni dili au ? tena yanabanwa na kupandishwa juu huonekana kifuani karibia kila mwanamke hapa mjini, kwanini wajuba? Wanatuchukuliaje hawa?
Ikiwezekana waje watueleze hapa.
Hii ni mara ya pili sasa mafundi nguo wananiharibia nguo zangu!
Namwambia vizuri tu kwa lugha inayoeleweka "...punguza urefu na upana." tunakubaliana... nampa pesa yake nasepa.
Leo nimekuja...
Wapo wenye nywele nyeusi, nyeupe , brown, kijivu.
And also their hair appearance differ.
What makes their hair to behave like that?
Is nationality the reason of those difference ?.
Answers please!
Hongereni kwa kazi!
Naomba kujua kwanini watu wengi wanapenda sana kufua nguo zao za ndani bafuni? Tena wengi hufua kwa kutumia sabuni ya kuogea ambayo kimsingi imetengenezwa kwa ajili ya kuogea...
Topshop is one of the bests online clothing markets in the UK, and it is largely knowing as the online market with the most trending in fashion clothing products.
Topshop is also known for its...
Nina baadhi ya marafiki hunishangaa sana eti kwanini sivai nguo ya ndani kama wengine.
Mimi huwajibu kirahisi kabisa ,kuwa Mimi ni MTU huru kwa hiyo siwezi kuvaa ,MTU ukiwa uko huru ni lazima...
Wakuu habari, ni takribani nusu mwaka nimehamia Mbeya na kama mnavyojua hali ya hewa huku ni upepo na baridi. Ngozi yangu imekua kavu na imefubaa.
Kwa anaejua cream au lotion au mafuta mazuri...
Wadau habari, kuna nguo niliimwagia wine na nyingine nilikuwa nakata nyama ikadondokea damu sasa sikuzifua muda huo huo na baadaYe yale madoa hayatoki tena hata nikiloweka, nitumie nini?
Nguo...
African girls are the most beautiful girls in the world. Their natural body curves, beautiful melanin skin makes them unparalleled. African girls don't need to go for plastic surgery to get curves...
UTAFITI:
Wasichana wanapojilinganisha uzuri & watu maarufu wanaowaona kwenye mitandao huwafanya kutojipenda & kupatwa na sonona(depression).
DALILI ZA SONONA
1. Kukosa raha, kushindwa kushiriki...
Mimi nashindwa kuelewa kabisa watu (hasa wanaume) wanaovaa saa enzi hizi za dijitali kama wanafanya hivyo kwa makusudi au ni mbwembwe tu. Kwanini nasema hivyo? Siku hizi yapata 98% ya watanzania...
Nawasalimu wanajamvi wote!
Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu, Mimi ni jinsia KE na kuna kitu kimoja kinachonitatiza kuhusu ngozi yangu tangu nimeanza kujitambua katika kukua kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.