Mildotty
JF-Expert Member
- Jun 29, 2016
- 278
- 198
Nawasalimu wanajamvi wote!
Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu, Mimi ni jinsia KE na kuna kitu kimoja kinachonitatiza kuhusu ngozi yangu tangu nimeanza kujitambua katika kukua kwangu. Yaani mtu akiniangalia Usoni ninang'aa sana compared to other parts of the body kama miguuni na mikononi.
At first nilidhani huenda ni aina ya mafuta ninayoyatumia labda, maana Mimi si mpenzi wa kutumia lotion sana hasa katika mazingira ya joto. Nimebadilisha sana mafuta lakini wapi! Ndo Kwanza sura inazidi kutakata mpaka watu wanaonizunguka wanahisi maybe natumia mkorogo but NO!
Sasa najiuliza ngozi yangu inaweza kuwa na shida gani? Je ni muhimu labda kwenda kumuona daktari wa ngozi? Maana hii hali siifurahii kwa kweli.
Nawasilisha kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu, Mimi ni jinsia KE na kuna kitu kimoja kinachonitatiza kuhusu ngozi yangu tangu nimeanza kujitambua katika kukua kwangu. Yaani mtu akiniangalia Usoni ninang'aa sana compared to other parts of the body kama miguuni na mikononi.
At first nilidhani huenda ni aina ya mafuta ninayoyatumia labda, maana Mimi si mpenzi wa kutumia lotion sana hasa katika mazingira ya joto. Nimebadilisha sana mafuta lakini wapi! Ndo Kwanza sura inazidi kutakata mpaka watu wanaonizunguka wanahisi maybe natumia mkorogo but NO!
Sasa najiuliza ngozi yangu inaweza kuwa na shida gani? Je ni muhimu labda kwenda kumuona daktari wa ngozi? Maana hii hali siifurahii kwa kweli.
Nawasilisha kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app