UTAFITI: Wasichana wanapojilinganisha uzuri na watu maarufu wanaowaona huwafanya kutojipenda na kupata sonona

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
UTAFITI:
Wasichana wanapojilinganisha uzuri & watu maarufu wanaowaona kwenye mitandao huwafanya kutojipenda & kupatwa na sonona(depression).

DALILI ZA SONONA

1. Kukosa raha, kushindwa kushiriki mambo ya kufurahisha, kupoteza uwezo wa kufurahia jambo, kukata tamaa, kujiona mwenye hatia, kukosa matumaini ya siku zijazo, mwili kuishiwa nguvu na kushindwa kujituma.

2. Dalili nyingine ni mtu kujiona hajafanya kitu cha maana, kujiona si wa maana na hana heshima.


Mwanamke wewe ni wa thamani kuliko kitu chochote, nguvu yako ni kusimama katika maamuzi yako na kuhakikisha huyumbi kwa njia moja au nyingine usiruhusu maisha yako yaongozwe na mtu mwingine wewe si mfungwa una haki ya kukataa na kukubali bila ya hofu wala woga...Jikubali
 
Naomba niwape Dedication yao hii:

"Aslay - Natamba"

...aaaaa eeeeeee angalia shepu (aaa eee),
ka Wema Sepetu (aaa eee), angalia Jicho (aaa eee) Hamisa Mobeto (aaa eee), karangi kake (aaa eee), Elizabeth Michael (aaa eee).

Yaani wewe mrembo, Wallah nachukua jiko!!!

Wewe ndo wangu wa milele, milele eee...
 
UTAFITI:
Wasichana wanapojilinganisha uzuri & watu maarufu wanaowaona kwenye mitandao huwafanya kutojipenda & kupatwa na sonona(depression).

DALILI ZA SONONA

1. Kukosa raha, kushindwa kushiriki mambo ya kufurahisha, kupoteza uwezo wa kufurahia jambo, kukata tamaa, kujiona mwenye hatia, kukosa matumaini ya siku zijazo, mwili kuishiwa nguvu na kushindwa kujituma.

2. Dalili nyingine ni mtu kujiona hajafanya kitu cha maana, kujiona si wa maana na hana heshima.


Mwanamke wewe ni wa thamani kuliko kitu chochote, nguvu yako ni kusimama katika maamuzi yako na kuhakikisha huyumbi kwa njia moja au nyingine usiruhusu maisha yako yaongozwe na mtu mwingine wewe si mfungwa una haki ya kukataa na kukubali bila ya hofu wala woga...Jikubali
Very very true,Dada tena hii mitandao ya kijamii inawaongezea depression sana ,unakuta MTU anashinda Instagram,Facebook akiangalia wengine na kufanya comparison kitu ambacho kinaleta madhara baadae.

Wengi wao wanashindwa kuwa na maisha ya uhalisia kwa kufanya editing kwenye picha nakuposti the results is more worse ,kingine ni likes hii imefanya wengi wawe dependent na kukosa maamuZi hats kwa maisha binafsi psychologically ni hatari sana,
 
Back
Top Bottom