Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Redirect
Nimekuwa nikikereka sana na ndevu zilizojaa kidevuni na hata nikinyoa ni chini ya wiki moja zinajaa. Yaani kila wiki lazima ninyoe na nisiponyoa unaweza kunikimbia. Kibaya ni kwamba zinaota...
1 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wakuu nilikuwa nahitaji msaada wenu mm nimeanza kufuga dread na kama week ya 3 hivi lakini sijawahi kutumia mafuta yeyote yale coz mimi nilisokota na sabuni 2. Sasa leo ndo nimenunua...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Napenda sana meno meupe na yaliyopangika vizuri. Na kwa bahati nzuri nimejaaliwa kuwa na vyote viwili pasipo na msaada wa dental braces wala retainers. Na meno ya njano njano huwa yananichefua...
20 Reactions
174 Replies
45K Views
Wakuu mpo salama . nilikuwa nahitaji ushauri wenu nilikuwa nataka kufuga dreadlocks je kunakuwaga na mafuta ya kusokotea au hadi uende saloon na ukienda saloon inakuwaga ni bei gani kutengeneza...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hii perfume ina harufu moja matata sana ikikukolea mwilini ni kama mvuta sigara, yaani hadi jasho lako linatoa harufu ya redrose Naikumbuka sana kwa sababu kuna Dada mmoja nilikuwa nampenda sana...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukifika saloon ya kiume, baada ya kupata huduma ya kunyoa, massage na scrub ni huduma gani nyingine ya muhimu ungependa kuipata nje ya hizo juu?
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu. Mara baada ya salama naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna Binti moja mzuri sana kiumbo na kisura lakini huyu binti amefuga kucha ana kucha ndefu kweli kweli mpaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, Mwenzenu sifurahii kabisa jinsi ngozi ya viganja vyangu vya mikono ilivyo kavu na ngumu, yaani hainivutii kabisa natamani ilainike. Nilishauriwa zamani kutumia glycerine...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Km headline inavyojieleza. Tukianzia zile za kibongo bongo,za kina chibu hd ma-hismiyake. Upi ni uturi the best for you mdau? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
4K Views
hello warembo na watanashati, Ni lotions gani za wadada ambazo ni maarufu ila hajizapigwa marufuku, sio fake na ni nzuri kwa viwango vyake, zenye bei ya kati 5,000-20,000. Sio vibaya ukinitajia...
2 Reactions
43 Replies
18K Views
Inaweza kuwa ajabu na kushangaza kwani barakoa zimegeuzwa na mamodel wa kileo ktk masuala ya urembo ambapo wanavaa kuziba chuchu zao, Je ni sahihi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kama Unapokaa Au kwa rafiki zako Au jilani kuna ma sinki ya choo yaliyoshindikana kwa uchafu.. Kiboko yao ipo. Tafuta dawa inaitwa NEW HARPIC nais haizid elfu 13. Kutokana na location uliyopo...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Dressing codes have a story to tell about you even before you speak. It creates an attraction wave to the people around you each second. Why dont you try this combination and walk out one day in...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu anae jua dawa ya meno ya ALOE VERA AirSun inapatikana wapi anijuze. DONDOO: Toka mfungo wa Ramadhani ulipoingia, nielienda kujumuhika na familia yangu kijijini japo sikuwa nimefunga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mm kiukwel sina style maalum Yan najikuta nishakaa kwenye kiti kinyoz akiniuliza sina chakumjib Ebu weken style zenu zakunyoa na majina yake aseeh ili na sisi tupendeze. Sent using Jamii...
1 Reactions
10 Replies
9K Views
Tujulisheni mavazi ya kuvaa wakati wa sendoff hususani kwa mwanaume.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kumekuwa na tatizo kubwa la nguo feki kuingia katika soko letu la nguo nchini na tujuzane njia mbalimbali za kugundua nguo hizo kwa u rahisi iwe jeans,suruali za vitambaa n.k
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini nyote nawaletea salamu changamfu kabisa kutoka West Monroe, USA. Wanaume wengi tunakumbana na changamoto ya kutokewa vipele tunaponyoa ndevu na viarufu flani hivi. Kuna hizi bidhaa za...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wadau, Anaeijua hii bidhaa inapatikana wapi anijulishe nna shida nayo sana time will tell
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…