Baada ya kumaliza kunyolewa, yule dada alipo niingizia kidole kwenye sikio wakati akiniosha......Ukifika saloon ya kiume, baada ya kupata huduma ya kunyoa, massage na scrub ni huduma gani nyingine ya muhimu ungependa kuipata nje ya hizo juu??
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 pale alikupa signal uniongeze ww ukambia Mali 🤣🤣🤣Baada ya kumaliza kunyolewa, yule dada alipo niingizia kidole kwenye sikio wakati akiniosha......
Aiseeee, niliruka kwa mshtuko sana. Na kuanzia skuhiyo nilipiga marufuku hata kupanguswa unywele baada ya kunyoa ni kuondoka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Signal gani hiyo wakati alinikosea adabu... ☹😁😁😁 pale alikupa signal uniongeze ww ukambia Mali 🤣🤣🤣
Alisababisha kusimama kwa fimbo ya musa..
Alisababisha kusimama kwa fimbo ya musa..
Ungeitumia kuigawa bahariAlisababisha kusimama kwa fimbo ya musa..
Wapwa wanakwambia baada ya kulipia na ku - keep change, ni kuchukua namba ya simu na kufanya booking ya day offUkifika saloon ya kiume, baada ya kupata huduma ya kunyoa, massage na scrub ni huduma gani nyingine ya muhimu ungependa kuipata nje ya hizo juu?
me sipendagi mambo mengi kunyoa tu inatosha hao madada sitakagi waniguse na suruali yangu ya kitambaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna barbershop moja niliendaga, mhh niliyoyaona hadi leo sina imani baby akienda barbershop. Natamani anyoe tu kisha akaoge nyumbani