Aiseee...
Lengo langu tena jmn?? Mi nimekujibu tu jmn kwakua uliulizaYani sijui chochote kuhusu hizo pills sema ninaziona na watu wanatumia na Ni maarufu mjiniAiseee...
Lengo lako hasa kukuza matako na mapaja?
Havina madhara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh sawa binamu.Lengo langu tena jmn?? Mi nimekujibu tu jmn kwakua uliulizaYani sijui chochote kuhusu hizo pills sema ninaziona na watu wanatumia na Ni maarufu mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
😁Eeeeeh!wacha wee...
Mambo ya kurepair mfumo haya.Habarini wadau,
Anaeijua hii bidhaa inapatikana wapi anijulishe nna shida nayo sana
time will tell
Acha uongo mkuu, si umwambie tu za ku boostia nguvu za babu? Na mfumo wa uzazi
Usiniite muongo,no research...no right to speak!Acha uongo mkuu, si umwambie tu za ku boostia nguvu za babu? Na mfumo wa uzazi
Kumbe kuna na hizi...duuuuuhUsiniite muongo,no research...no right to speak!
Kuhusu wanaume mi mwenyewe nishawahi kuskia nadhani Ni tofauti may be hiyo ni brand nameView attachment 1458347
Sent using Jamii Forums mobile app