Mimi ni mzuri wa sura tu jamani japo sio sana nataka niiweke sawa zaidi means ing ae mimi ni maji ya kunde sio mweupe sio mweusi lotion gani nitumie nipendeze zaidi.
Sent using Jamii Forums...
Habari zen wakuu...jamani eeh nipo kwenye baridi yaani hata upake mafuta ngoma inadunda..yaani napauka mpaka nahic ngozi inachanika...nimeambiwa nipake glycerine je hiyo kitu haina madhara...
Kwa wale Wajuzi wa mambo ya urembo naomba kujua kama hilo linawezekana kwani nina rafiki yangu Mdada, ni mrembo na ana chale mbili ndogo kwenye mashavu yake.
Bado sijamuuliza kama zinamkera ila...
Kaa ukijua kuongeza kg ni rahisi sana kuliko kupunguza hahaha yaani kupunguza sio poa. Kupunguza kg 2 tu mziki wake sio wa kitoto...
Jiwekee tabia ya kufanya mazoezi japo dk 30 kwa siku. Magonjwa...
Watu hawaendi kutembea kwa sababu ya Corona , ni kula tu kisha kutulia ndani, sasa unapodai nguo za Sikukuu ili iweje ? unataka uwende ukatemee wapi ? Wake zetu muda mwingine wanawaza wnayojua wao.
Hii nguo inafaida gani kwa wanawake skin Tait kwanini hasa ivaliwe mbona zamani walivaa underskirt kwanini wameacha underskirt wamerukia skin Tait hili swali linaniumiza sana.
Naomba kuuliza wadau, hivi Kuna uhusiano gani Kati ya rangi ya Ngozi ya binadam na rangi ya nywele zake,? Je kuna uhusiano wowote ule?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuvaa pia nakupendeza ni vitu ambavyo ni tofauti ila ni lazima ujue kwanza physical body structure yako na ni aina gani ya nguo zinaendana na body yako.
For Instance
Sent using Jamii Forums...
Habari Waungwana!! natumai ni wazima na maisha yanaendelea licha ya changamoto za hapa na pale tunazokumbana nazo katika Jamii....
Kuna muda nafikiria Je tujikite kwenye Kujenga Afya au tuendelee...
Habari zenu......nina nywele fupi na nimekua nikitumia dawa ya weave na mafuta ya gel kwa mda sasa ila naona bado nywele haijakua vile navyotaka.......
kwa hiyo naomba mnipe maujanja ya dawa...
Ni kwamba nina imani kwamba watu wengi wanaifaham Baking soda vizuri na nimekuta huku huku JF wakielezea matumizi ya baking Soda inavyosatumika kama vile kusafishia masinki ya vyoo, na pia...
Kuna mdau amenipa hii list nichague moja tu ili aniletee. Sasa sijui ipi ni.nzuri kushinda nyingine naombeni msaada wenu, ipi nichague ambayo ni nzuri miongoni mwa hizi
Invictus
Creed aventus...
Habari za leo wana jamvi,
Kama kawaida natoa elimu ambayo ina manufaa kwa watu wote walio enda shule na ambao hawa kwenda shule kabisa.
Ninapotoa elimu hii sio kwamba mimi najua sana kuliko...
Wale waliosoma shule zenye Cambridge syllabus kufunga tie ilikuwa sehemu ya maisha ya shule.
Sisi wa St Kayumba Kwamtogole, tumejifunza ukubwani. Wengine wanalipa watu ili wafungiwe tie,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.