majid salim
Member
- Dec 10, 2019
- 25
- 7
Wakuu mpo salama . nilikuwa nahitaji ushauri wenu nilikuwa nataka kufuga dreadlocks je kunakuwaga na mafuta ya kusokotea au hadi uende saloon na ukienda saloon inakuwaga ni bei gani kutengeneza kama so lazima sana kwenda saloon kwa mtu ambaye anajuwa mafuta ya kusokotea naomba aniambiye maana nazitamani San naombeni ushauri wenu tafadhali