Mtafute Mzee Merinyo Africasana, atamsaidia Sana.Habari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
Siku hizi wala huhitaji hata kumpeleka kozi kama yuko vizuri upstairs aingie tu mtandaoni na kuangalia sana vipindi vya mavaziHabari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
Njoo PM nikupe namba yakeKama unamawasiliano yake tafadhali
Pia waweza utembelea ukurasa wake wa FacebookKama unamawasiliano yake tafadhali
Yes,mpeleke veta ajue huo ushonaji pia ni vizuri ukimsaidia kuenroll kwenye online courses eg. Udemy ili awe professional atajifunza vitu vingi pia.Nilidhani itambidi aende veta na kusomea ufundi cherehani na mengineyo huko??