Ubunifu wa mavazi

Kitabu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
302
26
Habari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
 
Habari wakuu,binti yangu anataka kuwa mbunifu wa mavazi,elimu yake ni form six, je nimpeleke kozi gani itayomfaa??? Msaada tafadhali
Siku hizi wala huhitaji hata kumpeleka kozi kama yuko vizuri upstairs aingie tu mtandaoni na kuangalia sana vipindi vya mavazi

Jr
 
Siku hizi wala huhitaji hata kumpeleka kozi kama yuko vizuri upstairs aingie tu mtandaoni na kuangalia sana vipindi vya mavazi

Jr
Nilidhani itambidi aende veta na kusomea ufundi cherehani na mengineyo huko??
 
Back
Top Bottom