Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 253
- 797
Habari zenu Wakuu,
Wapi naweza pata chokaa kwa matumizi ya kilimo maana nimeulizia Dodoma cement wenyewe wanauza kuanzia 1000 kg na Mimi nahitaji 100kg.
Napatikana Singida
Wapi naweza pata chokaa kwa matumizi ya kilimo maana nimeulizia Dodoma cement wenyewe wanauza kuanzia 1000 kg na Mimi nahitaji 100kg.
Napatikana Singida