Yaani ukisikia kufikiria mpaka kufika kwenye bar ndo huku
Mwenzenu Nina heka nne za mahindi na Mungu kanisaidia mahindi yako vizuri natamani nipate mfuko mmoja wa MBOLEA nikuzie angalau hekta moja tu ili Nije nivune mazao yakuridhisha
Lakini Kila namna ninayofikiria ya kupata pesa siioni aisee
Jamani nisaidieni huko wapendwa
Mwenzenu Nina heka nne za mahindi na Mungu kanisaidia mahindi yako vizuri natamani nipate mfuko mmoja wa MBOLEA nikuzie angalau hekta moja tu ili Nije nivune mazao yakuridhisha
Lakini Kila namna ninayofikiria ya kupata pesa siioni aisee
Jamani nisaidieni huko wapendwa