Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee. Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga. Kuna vatieties nyingi sana za...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu salamu, Ninakifahamu kijiji kipo mbeya. Eneo linajoto maana ni karibu na kyela. Ardhi nzuri Kwa kila zao unalo lijua kama ufuta, Karanga, mpunga , mahindi, ndizi na kila zao unalo lijua...
9 Reactions
67 Replies
5K Views
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake. Iko...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Haya Mwamba huyu hapa 👇 https://youtu.be/APD7ddDGLQ8?si=F87C0LQ7oY2A9oup
1 Reactions
3 Replies
969 Views
Kichwa cha habari chajieleza!Mwenye kuujua Ninaomba anijuze ni ugonjwa gani na unatibiwaje? Nimeshatumia dawa nyingi zote nikishauriwa na "wataalamu"!! Nina imani JF ni baba wa wataalamu...
2 Reactions
7 Replies
967 Views
Bonjour Wakuu nimepata idea ya kulima kilimo Cha mihogo kibiashara, ila nahitaji kufahamu vitu Ni maeneo gani naweza kupata shamba Aina ya mbegu inayo faa Kwa matokeo mazuri Gharama ya kununua...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
1. Project ya Ng'ombe wa maziwa 2. Project ya Ng'ombe wa Nyama 3.Project ya Mbuzi wa nyama 4. Project ya Mbuzi wa Maziwa. 5.Project ya Kondoo wa nyama 5. Project ya Kuku wa Mayai 6.Project ya Kuku...
13 Reactions
52 Replies
5K Views
Hii imekua ikionekana dhahili kabisa vijan wengi wakion kua umeangukia katika kilimo wanakuona umeshafeli kabisa hauna maajabu wandai Na wamekua wakiona kazi ya kilimo ngumu saana Hapana hii sio...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Nipo halmashauri ya Bukoba. Nimegundua miembe yangu inapata kitu kama vumbi jeusi kwenye majani, maembe yanakuwa madogo yenye madoa meusi. Huu ni ugonjwa gani na dawa yake ni ipi...
1 Reactions
3 Replies
970 Views
Kauli Mbiu- “Changamkia Fursa, Ongeza Kasi ya Maendeleo ya Tasnia ya Chai Tanzania” Wilaya ya Ludewa kama wazalishaji wa Zao la Chai- tumeshiriki kikamilifu mkutano huu jijini Dodoma Wilaya ya...
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Nimejaribu kufanya kilimo cha mahindi msimu huu wa kilimo and let me tell you something maina, kilimo is not for the weak[emoji1430][emoji1430]. Hamna rangi sija acha ona lakini as they say maji...
16 Reactions
81 Replies
6K Views
MBUNGE ENG. ULENGE: MAAFISA UGANI TOENI USHIRIKIANO KWA WAKULIMA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga Mhe. Eng. Mwanaisha Ulenge amekabidhi Mbegu Bora za Kilimo kwa Wanawake wa Mkoa wa Tanga...
0 Reactions
1 Replies
492 Views
(Dead in shell cases)😔⁉️ ▪️Hii ni changamoto kubwa ambayo, wafugaji wanaotumia viangulizi (Incubators) hukumbana nayo siku 21 baada ya kuweka mayai kwenye Incubators. ▪️Wafugaji na watumiaji...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Samahani nahitaji msaada, miti yangu ya parachichi inapukutisha maua. Pamoja na milimao. Je nitumie mbolea ipi kuzuia hiyo hali. Maana samadi huwa naweka kabla ya masika kuanza...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
MHE. WANU HAFIDH (Mtoto wa Rais Samia) Awekeza Kuwainua Wanawake na Vijana Wakulima Kiuchumi Kupitia Zao la Mwani Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusini Unguja na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke...
1 Reactions
5 Replies
918 Views
Habari zenu wakuu! Kama kuna mtu anaweza kunielewesha aina hiyo ya kilimo(kontua) naomba anisaidie. Ukitupia na picha itanisaidia kuelewa zaidi.
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni mikoa gani Tanzania inafaa kwa kilimo na mifugo? Na ni wilaya zipi katika mikoa iyo n maharufu katika izo kazi. Bei ya mashamba zipoje katika mtazamo wa kununua na kukodi, na je hekari moja...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamaani mashamba yanayoweza kuwa rafiki kwa kilimo Cha vitunguu mkoa wa ruvuma yapo wilaya gani?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mo anataka kuingia kwenye kilimo. Kapanga kuweka dola milioni 250 kulima ekari laki moja. Kila la kheri kwake.
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Hawa wadudu ni kero sana wanapokua ktk makazi yako. Nimehamia nyumba fulan nimekutana na mazalia ya mende wadogo ambao wamekua wengi sasa.. Inafika hatua mtu umelala kitandani mende anatembea...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Back
Top Bottom