Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia Kwa mtu yeyote anae taka kulima kilimo biashara. 1. Una ardhi yenye ukubwa na yenye rutuba nzuri 2. Upo tayari kufanya kilimo kutoka moyoni mwako yani uvunguni...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Tanzania. Kilimo kinahakikisha upatikanaji wa chakula nchini na pia tunaweza kukuza uchumi wa taifa kupitia kilimo. Zifuatazo ni njia za kukuza uchumi wa...
0 Reactions
1 Replies
514 Views
Ni tatizo gani na matibau yake ni yapi. Tafadhali mwenye fununu
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Wanajamii habari zenu wote. Polen wadau kwa Mihangaiko za hapa na pale, Ndugu zangu najua huku kuna wakulima wazuri japo wapo pia paper farmers lakini najua mkulima wakweli akitoa ushauri huwa...
1 Reactions
43 Replies
23K Views
SAMAHANI NAOMBA KUJUA BBT(building better tomorrow tanzania) ina ukweli wa kumkwamua mwana nchi wa haliyachini ? Na je inamasharti gani na vigezogani ili kusajiliwa,kupatamafunzo ya vitendo&kupata...
1 Reactions
3 Replies
618 Views
Habari wadau, Natarajia kulima mahindi katavi mpanda kama ekari 300 kwa wazoefu naweza pata boom sprayer inayoendeshwa na trekta kwa kukodi. Na gharama zake zipoje
0 Reactions
0 Replies
336 Views
nINA SHAMBA TANGA handeni nataka kulima mahindi ni heka 30, nataka kuanza kwa kulima heka kumi, shamba linatakiwa liandaliwe sio pori ila kuna majani makubwa sana yameota na mengine yana mizizi...
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari zenu wanajamii, Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana...
6 Reactions
394 Replies
163K Views
Kama kichwa kinavyojieleza!! Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali! Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu habari, Naomba kufahamu au kama kuna mtu anahusika na biashara ya viungo(spices) bei za jumla kwa dar au mikoani. viungo vinavyo takiwa ni; corriander(giligiliani), black pepper(pilipili...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wadau wa JF Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure. Nikanunua Jogoo 2 Mitetea 14. Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12. Mwezi wa 3 mwanzoni...
4 Reactions
71 Replies
12K Views
UTANGULIZI Matikiti maji hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani, zao hili huwapatia watu kipato. Matikiti maji ni mojawapo ya jamii za...
8 Reactions
34 Replies
6K Views
Habari wanaJF wakulima, Hii ni mada mahususi itakayotoa elimu na maarifa kuhusu kilimo cha mazao ya mbogamboga na matunda kwa ujumla. Watu wengi wanatamani sana kulima ila wanakosa maarifa...
29 Reactions
407 Replies
51K Views
Wadau hivi kuku bora kienyeji wanapatikana mkoa gani?
1 Reactions
3 Replies
632 Views
WAKULIMA WA KAHAWA KAGERA NI SHANGWE TUPU, BEI YA KAHAWA IMEPANDA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kusimamia vyema...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Unadhani kutokana na kuwepo kwa changamoto ya masoko kwa bidhaa pamoja na mazao kwa wakulima Tanzania nini linaweza kuwa suluhisho ukiachana kuilaaumu serikali je unaona vijana wana nafasi gani hapa
0 Reactions
3 Replies
498 Views
Wengi wetu tumekuwa tukiogopa kufuga kuku sababu ya magonjwa.Ni kweli kuku wa kisasa ni rahisi kupata magonjwa. Sababu ya ufugaji wa kuku wa kisasa unaonekana ni mgumu kutokana na maeneo na...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakubwa nisaidieni Je, unaweza kuwaweka kuku wa 4 wenye vifaranga kwenye chumba kimoja na watoto wao? Maana kuku wangu wameatamia wapo wa 4 so nataka kuwatenga na hawa wengine ambao bado...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Hi friends, Naomba mwenye elimu kuhusu ufugaji wa kuku kwa kuanza na kufuga vifaranga vidogo vidogo kabsa, naomb kujua; 1. Faida zake 2. Namna ya kuwa mama kuku au namna ya kuwalea 3. Athari zake...
2 Reactions
3 Replies
924 Views
Hii kozi ninaoina kama miyeyusho fulani ivi maana nikiangalia maprof, Dr na PHD zao wote wameishia kuwa waalimu tu yaani malecturer tu, hakuna aliefungua mradi wake ata wa kufuga sato...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom