Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

RC KATAVI, MHE. MWANAMVUA MRINDOKO: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka UJUMBE WA RC KATAVI KWA WATANZANIA KUHUSU MAZINGIRA WAKATI WA MAAHDIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNANO. Mkuu wa Mkoa...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Habari, Nimenunua mbuzi lakini kinyesi chake sio Kama mbuzi wengine naomba msaada nielewe shida nini
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Members habari naweza kutajirika kupitia ufugaji na kitu gani Cha kufuga kitakachonitoa haraka
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna project nafuatilia nilikuwa nataka kujua watu wa Arusha km mngenisaidia retailer ambaye anahusika na izi Organic Black Kidney beans kwa wingi sana nijue.
1 Reactions
4 Replies
632 Views
Uyu mbwa vp? Ni kwa anaumwa au ndo kazeeka? Coz namuonea huruma sana na km ana vidonda mwili mzima. N atamani hata ningemchoma sindano ya euthanasia tu apumzike coz anaona anateseka sana hata...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Kahama wanavuna mpunga mwezi gani Naomba connection kwa anayeishi Kahama au mkulima wa mpunga
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari Wadau kwa yeyote mwenye stock ya Dawa ya actelic 50 EC naomba tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
424 Views
HATUA KWA HATUA UFUGAJI WA KUKU BORA WA NYAMA (BROILER) Lengo la makala hii ni kukuwezesha wewe mkulima kupata kuku wa nyama wenye uzito sahihi kukuwezesha wewe kupata faida. Hivyo basi wewe kama...
16 Reactions
40 Replies
81K Views
Huwa najiuliza kwanini Serikali Isingewaezesha Wa kulima kama vile kuwapatia Vifaa Vya kisasa Vya Kilimo kama Trekta, Mashine za umwagiliaji halafu kila mkulima Anapovuna Anatoa Asilimia Kumi tu...
3 Reactions
12 Replies
601 Views
Niko mwanza napenda kupanda miti. Tupeane Location na hii bidhaa ya miti 1.Miche ya Bure✅ 2.Miche ya ofa✅ 3.Miche ya hela⚠️✅ Nimeanza na mti mmoja wa maembe. Mwenze miche anipee basi nikapande
1 Reactions
15 Replies
983 Views
Waungwana naombeni msaada tafadha sina utaalama sana, jamaangu ameniazima mashine n tayari nimeshaweka mayai ila naombeni msaada kwe hayo mawili tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujarbu kusikiliza maoni ya watu ambao...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari wapendwa, nimeanza ufugaji wa Kasuku toka mwaka juzi na inakwenda vizuri ningependa kupata wadau wenzangu wa Kasuku.
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to...
5 Reactions
161 Replies
28K Views
Habari wanajamii? Mimi ninafuga Sungura na Njiwa kwa kuwa nawapenda sana ila nafahamu kwamba nikipata elimu ya namna ya kuwafuga kitaalamu au kwa mtu mwenye uzoefu nao naomba anielekeze namna...
4 Reactions
158 Replies
86K Views
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon. Dragon ni kama jina la "utani" Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI. Uchunguzi wangu...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua. Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Dragon cuttings ni moja ya matunda yenye faida nyingi sana mwilini na pia ni very expensive sio tu Bongo bali ni Dunia nzima. Ni wakati sasa kuwekeza sana kwenye hiki kilimo make watu wa kwanza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Jitihada kadhaa zimeshafanyika bila mafanikio. Zilipoanza kutafuna nyasi za "garden", ilisemekana kukimwagiliziwa kila siku hilo tatizo litaisha. Hilo limekuwa likifanyika tokea mwaka Jana lakini...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi, poleni na majukumu ya kujitafutia ridhki. Ninao bata Bukini wanaotarajia kutaga pair 2, yaani majike 2 na madume 2, na Bata mzinga 3 majike 2 na dume 1. Bata wote hawa nawauza...
0 Reactions
1 Replies
899 Views
Back
Top Bottom