Claud kubuteba
New Member
- Apr 29, 2023
- 1
- 3
Wana JF habari za uzima, natamani nifanye kilimo cha nyanya ifikapo masika, ila bado kuna mambo nashindwa kuyaelewa vizuri.
1-Nyanya inaitaji joto la wastani, lakini mimi nipo Pwani maeneo ya Mkuranga muda huu joto linasoma 27° . Sijui kama mmea utastawi vizuri au kama kuna mtu analima maeneo haya naomba anisaidie report ya mazao. Je joto linaathari yoyote?
2 -Takwimu ya bei ya nyanya sokoni kwa mda huu (June 2023)?
3-Mbegu inayoweza kustaimili wakati wa masika na magonjwa kama ukungu?
4-Itagharimu kiasi gani kupata mazao bora kwa hekari ?
5- kwenye hekari matenga mangapi yanatoka?
1-Nyanya inaitaji joto la wastani, lakini mimi nipo Pwani maeneo ya Mkuranga muda huu joto linasoma 27° . Sijui kama mmea utastawi vizuri au kama kuna mtu analima maeneo haya naomba anisaidie report ya mazao. Je joto linaathari yoyote?
2 -Takwimu ya bei ya nyanya sokoni kwa mda huu (June 2023)?
3-Mbegu inayoweza kustaimili wakati wa masika na magonjwa kama ukungu?
4-Itagharimu kiasi gani kupata mazao bora kwa hekari ?
5- kwenye hekari matenga mangapi yanatoka?