Tom lee Ab
Member
- Jan 11, 2020
- 41
- 17
Tujuzane soko la ununuji funza lipo vipi
Naskia wana bei sana?Tujuzane soko la ununuji funza lipo vipi
Tujuzane hiii ni fursakumekucha!
nyie sikieni ila ndo kumekucha!Naskia wana bei sana?
Soko lake na pia ningependa nifaamu baadhi ya wanunuziNaskia wana bei sana?
Unajuwa chochote kuhusu ilonyie sikieni ila ndo kumekucha!
haya furusuka mfanya biashara wa watu!Tujuzane hiii ni fursa
mi hapana naomba niishie hapa ndugu mada yenu ni kubwa sana!..😂Unajuwa chochote kuhusu ilo
Bei sana ndio bei gani?Naskia wana bei sana?
🤮🤮Hata kwa ugali kama ukiwajulia kuwakaanga vizuri.
Kuku ukimpa funza ananenepa sanamafunza ya kazi gani hasa kulishia kuku au
hakuna kitu kama hicho lisha kuku wako mafunza nami niwape wangu pellet tukutane sokoniKuku ukimpa funza ananenepa sana
Funza wanao kaa chini kwenye taka zilizo oza angalia kuku wa Singida ulete jibu hapahakuna kitu kama hicho lisha kuku wako mafunza nami niwape wangu pellet tukutane sokoni
hivyo singida kuna mafunza ya taka ardhini.., mikoa mingine hamna takaFunza wanao kaa chini kwenye taka zilizo oza angalia kuku wa Singida ulete jibu hapa
Uzhakuna kitu kama hicho lisha kuku wako mafunza nami niwape wangu pellet tukutane sokoni
Afu mwambie nikiwa na funza sina haja ya pellet ni mwendo wa kuongeza uzito To kwa kuku Wangu afu sokoni na uza kwa uzito To na kuwa nimeshindaFunza wanao kaa chini kwenye taka zilizo oza angalia kuku wa Singida ulete jibu hapa