Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,807
Habari JF,
Tupo mbioni kutafuta utajiri, utajiri upo shambani, alisikika bilionea mmoja akisema.
Wakuu, nina malengo baada ya kuhitimu Shahada Yangu ya Jinsia na Maendeleo (Bachelor Degree in gender and development).
Nataka kuingia moja kwa moja kwenye kilimo cha nyanya kibiashara.
Sasa ni wapi nitapata elimu sahihi ya kilimo hiki, kuanzia masuala ya udongo, kutunza miche, aina zote za madawa na kazi zake, na taratibu za mavuno.
Kifupi nataka kwanza elimu ya nyanya, nipo tayari kulipia gharama yoyote!
Anaejua wapi wanatoa elimu hii naomba anisaidie.
Tupo mbioni kutafuta utajiri, utajiri upo shambani, alisikika bilionea mmoja akisema.
Wakuu, nina malengo baada ya kuhitimu Shahada Yangu ya Jinsia na Maendeleo (Bachelor Degree in gender and development).
Nataka kuingia moja kwa moja kwenye kilimo cha nyanya kibiashara.
Sasa ni wapi nitapata elimu sahihi ya kilimo hiki, kuanzia masuala ya udongo, kutunza miche, aina zote za madawa na kazi zake, na taratibu za mavuno.
Kifupi nataka kwanza elimu ya nyanya, nipo tayari kulipia gharama yoyote!
Anaejua wapi wanatoa elimu hii naomba anisaidie.