Kuna anayeifahamu Maabara ya kupima na kugundua magonjwa ya wanyama jijini Mbeya?

UMUNYU

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
685
484
Kama kichwa kinavyojieleza!!

Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali!

Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi na wataalamu wetu hawa wa "darasani" lakini hakuna maendeleo yoyote!Nilipenda nijue mifugo yangu inaumwa nini na tiba ni nini!Nimechoka kufanyiwa majaribio!

Hata hivyo nimegundua kuna tatizo kubwa kwenye elimu wanayopewa wataalamu wetu wa mifugo!

Huenda kinachokutwa field ni tofauti na kinachofundishwa darasani!!
 
Kama kichwa kinavyojieleza!!

Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali!

Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi na wataalamu wetu hawa wa "darasani" lakini hakuna maendeleo yoyote!Nilipenda nijue mifugo yangu inaumwa nini na tiba ni nini!Nimechoka kufanyiwa majaribio!

Hata hivyo nimegundua kuna tatizo kubwa kwenye elimu wanayopewa wataalamu wetu wa mifugo!

Huenda kinachokutwa field ni tofauti na kinachofundishwa darasani!!
Wanatatizo gani?
 
Wanatatizo gani?
Wanasinzia!Alikuja tabibu wa kwanza nikamlipa akatoa dawa ajabu wale wote waliokuwa hali mbaya wakafa!!Nikashuku hiyo dawa!Akaja mwingine naye akagawa dozi yake lakini bado hali iko vibaya!Tatizo wote wanatibu kwa hisia!!
 
Wanasinzia!Alikuja tabibu wa kwanza nikamlipa akatoa dawa ajabu wale wote waliokuwa hali mbaya wakafa!!Nikashuku hiyo dawa!Akaja mwingine naye akagawa dozi yake lakini bado hali iko vibaya!Tatizo wote wanatibu kwa hisia!!
Viumbe...mifugo, ni specie gani usaidike?
 
Kama upo mbeya mjini , kama unaenda mbalizi, mwisho wa jeshi la itende kama unatokea mwanjelwa kituo kinaitwa nzovwe, shuka hapo vuka upande wa pili uliza kanisa la pentecoste linaitwa PEFA ukifika hapo ulizia mzee Mmoja anaitwa mzee MBOYA ni mfugaji wa miaka mingi sana eneo Hilo na ni mtalamu,mzoefu sana wa kuku,na ni mtengenezaji wa machine za incubator na kila ijumaa anatoaga chanjo za kuku hapo anauza anaweza kukusaidia mkuu, ( japo nasikia siku hizi kazeeka lakini kazi anapiga fresh
 
Hivi wale Mart uyole hawana hicho kitengo kweli? Mungu akubariki ufikie jawabu ya kuwaponyesha hao mifugo wako.
 
Kuku ni mifugo wadogo, magonjwa mi mengi hasa ya matumbo.
Kama unataka presha ya kupanda na kushuka fuga kuku
 
Je unauzoefu na viumbe hao Kwa mda Gani ? Je unatoa chanjo za kuku Kwa mda mwafaka kama kideri, mdondo, vihepe, homa ya matumbo n.k kabla ya kuwalaumu hao wataalamu jiulize wewe una nini? Coz ugonjwa unaingia taratibu na kutoka ni taratibu.

Pia hata hospital watu ufariki na dawa wamepewa hivyo aimaanishi kuku akipewa dawa anapona ila itamsaidia kupambana na ugonjwa but weak one will die . Nina mradi wa kuku hapo mbeya japo Kwa sasa sipo niliacha kama wiki mbili kuku wakaanza kuumwa walifanya uzembe sehemu ikabidi niludi nikawatibia na kuwaongezea maarifa waangalizi wakiona nn nao wafanye nn hivyo tukawaokoa walikufa kuku watano . Kwa kukuongezea nenda uyole pale uulizie kituo Cha taliri watakusaidia ndio kituo Cha utafiti wa mifugo Kanda ya kusini kipo pale
 
Je unauzoefu na viumbe hao Kwa mda Gani ? Je unatoa chanjo za kuku Kwa mda mwafaka kama kideri, mdondo, vihepe, homa ya matumbo n.k kabla ya kuwalaumu hao wataalamu jiulize wewe una nini? Coz ugonjwa unaingia taratibu na kutoka ni taratibu.

Pia hata hospital watu ufariki na dawa wamepewa hivyo aimaanishi kuku akipewa dawa anapona ila itamsaidia kupambana na ugonjwa but weak one will die . Nina mradi wa kuku hapo mbeya japo Kwa sasa sipo niliacha kama wiki mbili kuku wakaanza kuumwa walifanya uzembe sehemu ikabidi niludi nikawatibia na kuwaongezea maarifa waangalizi wakiona nn nao wafanye nn hivyo tukawaokoa walikufa kuku watano . Kwa kukuongezea nenda uyole pale uulizie kituo Cha taliri watakusaidia ndio kituo Cha utafiti wa mifugo Kanda ya kusini kipo pale
Nadhani ulinielewa tofauti!Si kwamba tunalaumu wataalamu,la hasha!Kumbuka dunia nzima,tiba halisi inaanzia maabara,ndiyo maana nikaulizia maabara ya mifugo ili kuku wangu waweze kuchunguzwa!Lengo ni kubaini tatizo hasa ili litibiwe!Wataalamu wote wa mifugo,wanatibu kwa kukisia!Na hapo ndipo shida ilipo!
 
Kuna kitu kinaitwa sign of disease, Kuna general sign of disease alafu mwisho Kuna differential diagnosis maana yake hapa mtaalamu anaangalia sign ambazo zinaendana na magonjwa mengine Kisha ataitoa sign Moja ambayo ni unique Kwa specific disease anafanya conclusion sasa kama anafanya hivyo hapo atakuwa anakisia na sio wote walioenda darasani wanatoka sharp wengine ni vilaza walikuwa wanatembelea kwenye mstari mwekundu na wamegraduate wapo mtaani wanafanya yao .
 
Kuna kitu kinaitwa sign of disease, Kuna general sign of disease alafu mwisho Kuna differential diagnosis maana yake hapa mtaalamu anaangalia sign ambazo zinaendana na magonjwa mengine Kisha ataitoa sign Moja ambayo ni unique Kwa specific disease anafanya conclusion sasa kama anafanya hivyo hapo atakuwa anakisia na sio wote walioenda darasani wanatoka sharp wengine ni vilaza walikuwa wanatembelea kwenye mstari mwekundu na wamegraduate wapo mtaani wanafanya Yao
Hapo kwenye sign of disease ,lugha sahihi ni clinical sign na hapo kwenye unique sign lugha sahihi ni pathognomonic sign

Clinical sign:Is any mark or indication providing objective evidence of disease in a sick animal
Ni alama au kiashiria chochote ambacho kinaweza kutumika kusaidia kutambua ugonjwa husika Kwa mnyama anayeumwa

Pathognomonic sign:is a particular sign whose presence means that a particular disease is present beyond any reasonable doubt
Ni dalilia au kiashiria ambacho kikionekana maana yake pasipo shaka ugonjwa fulani upo kwa mnyama husika
 
Kama kichwa kinavyojieleza!!

Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali!

Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi na wataalamu wetu hawa wa "darasani" lakini hakuna maendeleo yoyote!Nilipenda nijue mifugo yangu inaumwa nini na tiba ni nini!Nimechoka kufanyiwa majaribio!

Hata hivyo nimegundua kuna tatizo kubwa kwenye elimu wanayopewa wataalamu wetu wa mifugo!

Huenda kinachokutwa field ni tofauti na kinachofundishwa darasani!!
Maabara ya Taifa ya wanyama(Tanzania veterinary laboratory agency(TVLA)) Kwa mbeya hawana branch ila wana branch iringa mjini hapo nadhani,na kama utawacheki waambie wafanye kipimo cha postmortem na pamoja na bacteria culture and sensitivity test kutokana na maelezo yako hivo ndo vipimo ambavyo vinaweza kuleta majibu chanya ya kuhusu shida ni nini

Hapo kwenye kipimo cha postmortem,sample huwa wanahitajigi kuku waliohai miongoni mwao hao wanaoumwa at least at wawili
 
Mart na mifugo wapi na wapi? hao ni mambo ya kilimo.
Tumepabadili sisi mkuu nimeishi pale kulikuwa na kila kitu kipindi wazungu wanapaendesha wenyewe, na nimejifunzia hapo ufugajinhasa Mbuzi, Mbwa na farasi.
 
Tumepabadili sisi mkuu nimeishi pale kulikuwa na kila kitu kipindi wazungu wanapaendesha wenyewe, na nimejifunzia hapo ufugajinhasa Mbuzi, Mbwa na farasi.
MARTI vyote vinafundisha kilimo, ndani ya mafunzo ya kilimo kuna kimodule cha livestock production pekee na sio tiba, production na tiba za mifugo hufundishwa na LITA (zamani LITI)...so huwezi soma vyuo vya kilimo ukasema umesomea mifugo na pia huruhusiwi kutibu.
 
Back
Top Bottom