GOLD BOY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 286
- 304
Hii kozi ninaoina kama miyeyusho fulani ivi maana nikiangalia maprof, Dr na PHD zao wote wameishia kuwa waalimu tu yaani malecturer tu, hakuna aliefungua mradi wake ata wa kufuga sato wanatufundisha sisi tusome tujiajiri kivipi!? Kama wewe na phd yako huna hata bwawa la samaki mm nitaweza vipi?
Dunia ya sasa inaenda kasi sana kwenye technolojia, tutaweza vipi kumudu mapinduzi hayo ikiwa mmetupatia mafunzo too old hakuna cha teknolojia wala nini tufungie kwenye mapond ili hali nchi za wenzetu hawafanyi hivyo.
Mwisho Elimu ya bongo ni miyeyusho tu
Dunia ya sasa inaenda kasi sana kwenye technolojia, tutaweza vipi kumudu mapinduzi hayo ikiwa mmetupatia mafunzo too old hakuna cha teknolojia wala nini tufungie kwenye mapond ili hali nchi za wenzetu hawafanyi hivyo.
Mwisho Elimu ya bongo ni miyeyusho tu