Ushauri wa haraka: Kuku wameanza kufa kwa kasi

Agresive

JF-Expert Member
Feb 18, 2018
889
1,226
Habari wadau wa JF

Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure.

Nikanunua Jogoo 2
Mitetea 14.
Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12.

Mwezi wa 3 mwanzoni wakaanza kutaga na kuanzia mwezi wa 3 baadhi wakaanza kuatamia, kuku wa mwisho katotoa leo trh 7/6/2023

Nina vifaranga makundi 4

1. miezi mitatu vifaranga 9.
2. Mwezi na nusu vifaranga 45
3. mwezi 1 vifaranga 35
4. Wiki 3 vifaranga 11
5. siku 1 vifanga 6.

Jumla nilikuwa na vifaranga wapatao 106 na waliongezeka leo kufanya jumla ya 112.

KATIKA VIFARANGA WOTE NILIKUWA SIJAWAHI KUPOTEZA KIFARANGA KWA SABABU YA UGONJWA AU KUUMWA.

Isipokuwa nilipoteza vifaranga 6 kwa kudonolewa na kuku wengine ambao siyo mama yao.

LEO ASBH NIMEAMKA NAONA KUKU 1 NI MNYONGE HALI MACHO HAYAONI VIZURI.

Baada ya kumchunguza vzr nikajuwa ana mafua makali sana na anapumua kwa shida.

Nilivyoanza kumpa matibabu kumfanyia dressing na kuondoa utando mweupe ndani ya jicho kwa kutumia maji ya vuguvugu na chumvi akazidiwa gafla na kuanza kukata roho.

Ni kifaranga wa mwezi na nusu.

KUKU WANGU WANAKAA NDANI MUDA WOTE LABDA MARA MOJA MOJA NAWATOA KUOTA JUA.

Kuku wakubwa wanashinda Nje kwenye Fensi na eneo la kutosha kama ekari 5.

CHAKULA CHAO HUWA NACHANGANYA

1. Mahindi yaliyobarazwa
2. pumba za mahindi.
3. Dagaa
4. Pumba za alizeti.
5. Maharage yaliyobarazwa mara chache.

Dawa ambazo,nimewahi kuwapa za vitaminic na madini ni
1. Neochikis
2. Premix layers
3. D.TC
4. Oxfarm
5. Alovera kila baada ya wiki mbili.

KUKU 12 WA KIENYEJI WALITAGA MAYAI ZAIDI YA 250.


DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU.

Nahofia na wengine vifaranga wataendelea kufa kwa kasi hii.
 
Hayo ni maumivu makali kwa mfugaji
Nilifuga walipofika 100
Kuna mtu alikuja na kuku wake mgonjwa na kinyesi cha kuku kikawa sababu ya kuku wangu kuugua
Walikufa 60 kwa siku 3

Wengine nikawala
Labda ulikanyaga kinyesi Chenye maradhi nje ukaingia nayo bandani au hata vets pia huwa wanazunguka na maradhi kutoka kwa wafugaji hadi wafugaji

Jiepusheni sana hawa wanapokuja vibandani wavalisheni boots za hapo au waoshe viatu vyao kwa dawa kabla ya kuingia bandani
 
Hayo ni maumivu makali kwa mfugaji
Nilifuga walipofika 100
Kuna mtu alikuja na kuku wake mgonjwa na kinyesi cha kuku kikawa sababu ya kuku wangu kuugua
Walikufa 60 kwa siku 3

Wengine nikawala
Labda ulikanyaga kinyesi Chenye maradhi nje ukaingia nayo bandani au hata vets pia huwa wanazunguka na maradhi kutoka kwa wafugaji hadi wafugaji

Jiepusheni sana hawa wanapokuja vibandani wavalisheni boots za hapo au waoshe viatu vyao kwa dawa kabla ya kuingia bandani
Nilifuga kuku wa kienyeji na kufuata masharti karibu yote ila walipoanza kupukutika mpk leo bado najitafakari nianzie wapi tena kufuga...
Shida ya mafua makali ulitumia dawa gani?
 
Hayo ni maumivu makali kwa mfugaji
Nilifuga walipofika 100
Kuna mtu alikuja na kuku wake mgonjwa na kinyesi cha kuku kikawa sababu ya kuku wangu kuugua
Walikufa 60 kwa siku 3

Wengine nikawala
Labda ulikanyaga kinyesi Chenye maradhi nje ukaingia nayo bandani au hata vets pia huwa wanazunguka na maradhi kutoka kwa wafugaji hadi wafugaji

Jiepusheni sana hawa wanapokuja vibandani wavalisheni boots za hapo au waoshe viatu vyao kwa dawa kabla ya kuingia bandani
Pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau wa JF

Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure.

Nikanunua Jogoo 2
Mitetea 14.
Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12.

Mwezi wa 3 mwanzoni wakaanza kutaga na kuanzia mwezi wa 3 baadhi wakaanza kuatamia, kuku wa mwisho katotoa leo trh 7/6/2023

Nina vifaranga makundi 4

1. miezi mitatu vifaranga 9.
2. Mwezi na nusu vifaranga 45
3. mwezi 1 vifaranga 35
4. Wiki 3 vifaranga 11
5. siku 1 vifanga 6.

Jumla nilikuwa na vifaranga wapatao 106 na waliongezeka leo kufanya jumla ya 112.

KATIKA VIFARANGA WOTE NILIKUWA SIJAWAHI KUPOTEZA KIFARANGA KWA SABABU YA UGONJWA AU KUUMWA.

Isipokuwa nilipoteza vifaranga 6 kwa kudonolewa na kuku wengine ambao siyo mama yao.

LEO ASBH NIMEAMKA NAONA KUKU 1 NI MNYONGE HALI MACHO HAYAONI VIZURI.

Baada ya kumchunguza vzr nikajuwa ana mafua makali sana na anapumua kwa shida.

Nilivyoanza kumpa matibabu kumfanyia dressing na kuondoa utando mweupe ndani ya jicho kwa kutumia maji ya vuguvugu na chumvi akazidiwa gafla na kuanza kukata roho.

Ni kifaranga wa mwezi na nusu.

KUKU WANGU WANAKAA NDANI MUDA WOTE LABDA MARA MOJA MOJA NAWATOA KUOTA JUA.

Kuku wakubwa wanashinda Nje kwenye Fensi na eneo la kutosha kama ekari 5.

CHAKULA CHAO HUWA NACHANGANYA

1. Mahindi yaliyobarazwa
2. pumba za mahindi.
3. Dagaa
4. Pumba za alizeti.
5. Maharage yaliyobarazwa mara chache.

Dawa ambazo,nimewahi kuwapa za vitaminic na madini ni
1. Neochikis
2. Premix layers
3. D.TC
4. Oxfarm
5. Alovera kila baada ya wiki mbili.

KUKU 12 WA KIENYEJI WALITAGA MAYAI ZAIDI YA 250.


DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU.

Nahofia na wengine vifaranga wataendelea kufa kwa kasi hii.
Nunua tylodox na fluban changanya wape pia unaweza ongeza na trimazine hizi dawa 3 ni comb nzur sana.Jifunze kujua dawa kama unataka kua mfugaj mzuri.pia jifunze kuchunguza kuku kila mara sabab kuku akiumwa serious ni ngumu kumuokoa na ukiona umekaa muda mref bila kuwapa dawa jifunze kuwashtua na dawa kila baada ya muda fulan it will help

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kideri hiki kweli? Mara nyingi kinaambukiza kwa mfugaji km alikanyaga kinyesi cha kuku mwenye ugonjwa labda huko nje, then akaenda kwa kuku wake anapofuga, ikipuliza hewa tyuuh imoo.

Kanunue madukani dawa ya kideri, nzuri ile ya matone kutia kwenye macho.

Ufugaji wa kuku unahitaji uangalizi na matunzo mnoo.
 
Wanyweshe gongo...
Kabla hujanidhihaki wala kunitukana,muulze mfugaji mwenzio kwanza...

Narudia tena...wanyweshe gongo
 
Tatuta mtaalamu wa mifugo. Nilishapata hilo pigo, walionusurika kikaingia kile kimnyama kidogo kama fuko na kuwauwa tena! Sasa nimepumzika nikitafakari.
 
"DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU."
jaribu kuwapa flueban pamoja na otc usiwape dawa za biadamu kwani zinawaletea kuku usugu
fanya usafi wa banda ,cheki maranda unayoweka kwenye banda yasiwe ya mbao zenye harufu kali ,banda liwe na hewa ya kutosha,safisha vyombo vya maji kwa sabuni kila siku na wape kuku maji safi
tumia v-rid kupuliza kwenye hewa na ndani ya mabanda kila wiki na kama unataka kujilinda zaidi weka sahemu ya kukanyaga dawa kabla ya kufika bandani
 
Nashukru sana kaka kwa ushauri wako.

Kuna muda unahisi kuku wamekuwa ndugu zako so ukipoteza hata 1 unafeel maumivu na unabakia kuwaza hatma ya wengine waliobakia.
Ukiwa na mifugo ya aina yoyote inatakiwa uwe na moyo wa chuma maana wakifika 100 unataka wawe 200
Mimi nashukuru niliwala sana yaani kila wiki kuku mara moja au mbili na mayai mpaka 30 yanalika kwenye familia

Ila ukisema uwafanye ndugu basi utakuwa kama watusi au wasukuma unakuwa na ng'ombe 500 halafu kila leo unagombana na wakulima

Kuna mzee alinionyesha mifugo yake akasema unamuona huyo yuko sawa na mwanangu wa form 4
Anamuona kama mwanae pia
 
Sio kideri hiki kweli? Mara nyingi kinaambukiza kwa mfugaji km alikanyaga kinyesi cha kuku mwenye ugonjwa labda huko nje, then akaenda kwa kuku wake anapofuga, ikipuliza hewa tyuuh imoo.

Kanunue madukani dawa ya kideri, nzuri ile ya matone kutia kwenye macho.

Ufugaji wa kuku unahitaji uangalizi na matunzo mnoo.
Sidhani kama ni kideri
Kwani wangeharisha kinyesi cheupe na kijani.
Alivyo eleza; inaonekana hayo ni mafua ya ndege....kuna mtu amemuelekeza dawa zake hapo juu
 
Sidhani kama ni kideri
Kwani wangeharisha kinyesi cheupe na kijani.
Alivyo eleza; inaonekana hayo ni mafua ya ndege....kuna mtu amemuelekeza dawa zake hapo juu
Mbna niliona km alisema wana harisha? Bas sikusoma vizuri, kweli hayo mafua ya ndege
 
Nunua tylodox na fluban changanya wape pia unaweza ongeza na trimazine hizi dawa 3 ni comb nzur sana.Jifunze kujua dawa kama unataka kua mfugaj mzuri.pia jifunze kuchunguza kuku kila mara sabab kuku akiumwa serious ni ngumu kumuokoa na ukiona umekaa muda mref bila kuwapa dawa jifunze kuwashtua na dawa kila baada ya muda fulan it will help

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashkru sana Kaka, leo ni siku ya 3 natumia tylodox nashukuru hawa kuku wanaendelea vzr ambao hali yao ni mbaya zaidi walikuwa bado 2 na mmoja jana alikufa.

Kifo chake sijakielewa

Alikuwa na nafuu kidogo lakini akawa hali chakula, asbh nikamlisha na maji nikampa.

JIONI NIKAFANYA HIVO HIVO, WAKATI NAANZA KUMPA CHAKULA JIONI HIYO HAKUNA NA HALI MBAYA SANA , CHA KUSHANGAZA WAKATI NIMEANZA KUMPA CHAKULA

NAHISI INAWEZEKANA CHAKULA KILIPITA NJIA YA HEWA MAANA AKIWA MIKONONI MWANGU GAFLA TU NILIONA ANAANZA KUPAPATIKA KWA NGUVU AKAPUMUA KWA SHIDA NDANI YA SEKUNDE 5 AKAKATA ROHO.


Nahisi chakula nilichokuwa namlisha kilikosea njia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom