Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 889
- 1,226
Habari wadau wa JF
Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure.
Nikanunua Jogoo 2
Mitetea 14.
Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12.
Mwezi wa 3 mwanzoni wakaanza kutaga na kuanzia mwezi wa 3 baadhi wakaanza kuatamia, kuku wa mwisho katotoa leo trh 7/6/2023
Nina vifaranga makundi 4
1. miezi mitatu vifaranga 9.
2. Mwezi na nusu vifaranga 45
3. mwezi 1 vifaranga 35
4. Wiki 3 vifaranga 11
5. siku 1 vifanga 6.
Jumla nilikuwa na vifaranga wapatao 106 na waliongezeka leo kufanya jumla ya 112.
KATIKA VIFARANGA WOTE NILIKUWA SIJAWAHI KUPOTEZA KIFARANGA KWA SABABU YA UGONJWA AU KUUMWA.
Isipokuwa nilipoteza vifaranga 6 kwa kudonolewa na kuku wengine ambao siyo mama yao.
LEO ASBH NIMEAMKA NAONA KUKU 1 NI MNYONGE HALI MACHO HAYAONI VIZURI.
Baada ya kumchunguza vzr nikajuwa ana mafua makali sana na anapumua kwa shida.
Nilivyoanza kumpa matibabu kumfanyia dressing na kuondoa utando mweupe ndani ya jicho kwa kutumia maji ya vuguvugu na chumvi akazidiwa gafla na kuanza kukata roho.
Ni kifaranga wa mwezi na nusu.
KUKU WANGU WANAKAA NDANI MUDA WOTE LABDA MARA MOJA MOJA NAWATOA KUOTA JUA.
Kuku wakubwa wanashinda Nje kwenye Fensi na eneo la kutosha kama ekari 5.
CHAKULA CHAO HUWA NACHANGANYA
1. Mahindi yaliyobarazwa
2. pumba za mahindi.
3. Dagaa
4. Pumba za alizeti.
5. Maharage yaliyobarazwa mara chache.
Dawa ambazo,nimewahi kuwapa za vitaminic na madini ni
1. Neochikis
2. Premix layers
3. D.TC
4. Oxfarm
5. Alovera kila baada ya wiki mbili.
KUKU 12 WA KIENYEJI WALITAGA MAYAI ZAIDI YA 250.
DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU.
Nahofia na wengine vifaranga wataendelea kufa kwa kasi hii.
Mwezi wa 2 mwanzoni nilianza kufuga kuku wa kienyeji pure.
Nikanunua Jogoo 2
Mitetea 14.
Mitete 2 walipata shida kidogo nikawala nikabakia nao 12.
Mwezi wa 3 mwanzoni wakaanza kutaga na kuanzia mwezi wa 3 baadhi wakaanza kuatamia, kuku wa mwisho katotoa leo trh 7/6/2023
Nina vifaranga makundi 4
1. miezi mitatu vifaranga 9.
2. Mwezi na nusu vifaranga 45
3. mwezi 1 vifaranga 35
4. Wiki 3 vifaranga 11
5. siku 1 vifanga 6.
Jumla nilikuwa na vifaranga wapatao 106 na waliongezeka leo kufanya jumla ya 112.
KATIKA VIFARANGA WOTE NILIKUWA SIJAWAHI KUPOTEZA KIFARANGA KWA SABABU YA UGONJWA AU KUUMWA.
Isipokuwa nilipoteza vifaranga 6 kwa kudonolewa na kuku wengine ambao siyo mama yao.
LEO ASBH NIMEAMKA NAONA KUKU 1 NI MNYONGE HALI MACHO HAYAONI VIZURI.
Baada ya kumchunguza vzr nikajuwa ana mafua makali sana na anapumua kwa shida.
Nilivyoanza kumpa matibabu kumfanyia dressing na kuondoa utando mweupe ndani ya jicho kwa kutumia maji ya vuguvugu na chumvi akazidiwa gafla na kuanza kukata roho.
Ni kifaranga wa mwezi na nusu.
KUKU WANGU WANAKAA NDANI MUDA WOTE LABDA MARA MOJA MOJA NAWATOA KUOTA JUA.
Kuku wakubwa wanashinda Nje kwenye Fensi na eneo la kutosha kama ekari 5.
CHAKULA CHAO HUWA NACHANGANYA
1. Mahindi yaliyobarazwa
2. pumba za mahindi.
3. Dagaa
4. Pumba za alizeti.
5. Maharage yaliyobarazwa mara chache.
Dawa ambazo,nimewahi kuwapa za vitaminic na madini ni
1. Neochikis
2. Premix layers
3. D.TC
4. Oxfarm
5. Alovera kila baada ya wiki mbili.
KUKU 12 WA KIENYEJI WALITAGA MAYAI ZAIDI YA 250.
DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU.
Nahofia na wengine vifaranga wataendelea kufa kwa kasi hii.