Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Ndugu katika jamii forum, mimi ni kijana wa kitanzania, nategemea kuhitimu mafunzo ya uhandisi katika fani ya uchenjuaji madini( mineral processing Engineering) mwezi wa sita mwaka huu. kutokana...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika. Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WADAU NAOMBENI USHARI KWENYE SWALA LA UJASIRIAMALI,NINA MTAJI WA KAMA MILLIONI 7 NAOMBENI USHARI NAWEZA KUFANYA BIASHARA GANI? SINA UZOEFU KABISA KUHUSU BIASHARA.NATAKA KUACHA KAZI NIJIKITE KWENYE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali waungwana... Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu dawa ya visiki shambani...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Waungwana Ninataka kuanzisha biashara ya kuuza Personal Computers (Windows) mpya, kwenye miji hii: 1. Mbeya 2. Iringa 3. Kigoma 4. Mwanza 5. Tabora 6. Mtwara Ningependa kujua, kwa wenye kuishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Habari wana JF! Naomba nifahamishwe kuhusu taratibu za kufuata ili kuwa wakala wa Luku. Pia malipo kati ya wakala na Tanesco yapo kwa utaratibu gani. Pamoja na experience mbalimbali za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau! Nina mpango wa kuanzisha kituo cha television (entertainment) hapa nchini lakini sijui natakiwa niwe na mtaji kiasi gani.Tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipatia makisio ya juu ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
natafuta soko la mafuta ya alizeti ambayo nimeyapaki katika lita tano na ninauza kwa sh. 17,000. ni mafuta ambayo yamesajiliwa
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani naomba msaada wa kitaalam kwa sababu kuku wangu utagaji wao uko chini sana kiasi ha asilimia 65 na si zaidi tena hapo wamejitahidi sana mara nyingi wana kuwa chini ya hapo
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hebu tembelea blog hii ya UCHUMI KWANZA utajifunza mengi Tanzania kuna fursa nyingi sana za kujikwamua kijasiriamali maana serikali imetutupa Mwezi ujao kutakuwa na semina pale Kibaha Maili Moja...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wanajamvi kumekuwapo wenzetu humu jamvini wakipata pesa hawajui lakufanya. Nimejaribu kufanya maulizo kuhusu hizi kitu GH na haya ndo majibu waliyonipa. Web yao ni Greenhouses in Kenya | Borehole...
3 Reactions
45 Replies
17K Views
Habari yako mwana-JF? Nataka kujihusisha na ukopeshaji wa fedha kwa ngazi ya chini (yaani Tshs. 50.000-Tshs.200,000), ningependa kujua kwa ukopeshaji huu, ni utaratibu gani utumike ili nifanye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasaliimu wote natumaini all of you are doing fine kabisaa Nina kitu nawaomba mnisaidie mwenzenu!! Nina pikipiki ambayo haina kazi nataka niifanye ya biashara iniingizie kitu kidogo kwa...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Hii kamuni iko Arusha na inascheme kama ya DESI.Unarusisawa kupanda bila kuzuna.Niliwatembelea siku moja mitaa ya Kijenge kujua kulikoni lakini maelezo ya wahusika hayana msikom wa kisheria...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Me na marafiki zangu kadhaa tumejiorganise ili tuwe tunatoa misaada kila mwisho wa mwezi kwa yatima, wajane , wazee na kundi lolote la watu ambao ni neglected na wana uhitaji wa huduma mbalimbali...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Serikali imeamua kuwafutia kodi wafanyabishara wakubwa wa mchele Ili waingize mchele kutoka pakistani...hatua hii niusariti kwa wakulima wakitanzania kwani Imeharibu soko landani na kuwatengenezea...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Wadau naomba ideas zenu kuhusu printing ,nilikuwa nafikiria kufungua sehemu ya kuprint tshits,plates,vikombe na mengineyo,je ni machine gani nzuri au ambayo itafaa kwa shughuli hizo?je kwa wenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naitaji kuwa wakala ila naomba kuwajuza wanajamii yeyote anaeuza au anaemfaham anaeuza line za uwakala anijuze plzzz
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi niko morogoro kwa yeyote mwenye kufahamu wadau wenye kufanya michakato ya kupata laini ya uwakala tigo pesa wanitafute kwa namba 0765512663,0719510163.kwa sasa najua wamesitisha kutoa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom