How I made over 260,000 US$ in FLP - John E.

Nxt Millionaire

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
406
89
This is unique opportunity for those who like to learn from winners and successful people in the Network Marketing , John E. FLP Africa Top Distributor is in Dar and tomorrow will give special presentation of how he made over 260,000 US$ as Profit Share,
Venue: Belmonte Hotel Mkapa Towers, Posta,
Date: 19/07/2012
Time: 2pm
Entrance: 10, 000/- (Limited spaces, book early to avoid unnecessary inconveniences)
Call: +255716927070 for booking.


http://www.flpg.de/fileadmin/user_upload/Download/ViennaTraining/John_Ekperigin_v02.pdf

Forever Testimonial | John & Justina Ekperigin (Nigeria) - YouTube


John Ekperigin.jpg


About John E.
Before he got into this business, he was a lecturer for over twenty years, with two master degrees (MSc and MBA) and his wife Justina was a practicing pharmacist for over twenty years. They worked hard in order to make their dreams come true but it was difficult to achieve financial freedom until we finally met the opportunity that was real.
 
Great minded people never wait for oppotunity,they create them!!!!!kalagabaho!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hii ni fursa hadimu kwa wanaopenda kujifunza kwa WALIOFANIKIWA katika Biashara ya Mtandao ama Network Marketing, huyu jamaa anaingiza zaidi ya Dola za Marekani Laki nne kwa mwaka, alikuwa Lecturer lakini hakuwai kuingiza wala kuota kuingiza kipato kama hicho kwa mwaka isipokuwa kupitia Biashara ya Mtandaoa ama Network Marketing.

Lakini kwa wale wanaopenda kujifunza kwa WALIOSHINDWA ama wenye mtazamo hasi juu ya mafanikio hii si fursa nzuri kwao, watapoteza pesa yao bure, kwani walioshindwa ni wengi mno mtaani kuliko walioshinda.

Wabongo ukiwawekea ushuhuda wa video ktk youtube wanasema ni maigizo, sasa kwanini usiende ukakutane naye LAIVU?

Je wajua kwa nini Dr Charles King aliamua si tu kuanzisha kozi hii pale Illinois University, bali kuandika kitabu, mbali ya vitabu vingi vilivyopo, yeye akaiita hii The New Professionals, muda si mrefu elimu hii itakuja hapa bongo na watu watalipa pesa nyingi kuipata.
book-new-professionals-400h.jpg
 
Hii ni fursa hadimu kwa wanaopenda kujifunza kwa WALIOFANIKIWA katika Biashara ya Mtandao ama Network Marketing, huyu jamaa anaingiza zaidi ya Dola za Marekani Laki nne kwa mwaka, alikuwa Lecturer lakini hakuwai kuingiza wala kuota kuingiza kipato kama hicho kwa mwaka isipokuwa kupitia Biashara ya Mtandaoa ama Network Marketing.

Lakini kwa wale wanaopenda kujifunza kwa WALIOSHINDWA ama wenye mtazamo hasi juu ya mafanikio hii si fursa nzuri kwao, watapoteza pesa yao bure, kwani walioshindwa ni wengi mno mtaani kuliko walioshinda.

Wabongo ukiwawekea ushuhuda wa video ktk youtube wanasema ni maigizo, sasa kwanini usiende ukakutane naye LAIVU?

Je wajua kwa nini Dr Charles King aliamua si tu kuanzisha kozi hii pale Illinois University, bali kuandika kitabu, mbali ya vitabu vingi vilivyopo, yeye akaiita hii The New Professionals, muda si mrefu elimu hii itakuja hapa bongo na watu watalipa pesa nyingi kuipata.
View attachment 59178

I agree network marketing is a valid business but not all companies are valid !!
...Niliwahi kua FLP but nikajitoa sababu Hii kampuni na nyngne nyingi zinawaibia sana wananchi.....kupitia compensation plan zao....zimekaa vibaya mno, zimebanwa sana kiasi kwamba wewe uta fail from the very beginning. Na nina mifano hai na solid envidence (USHAHIDI WA KUTOSHA)....Jamaa flan hivi humu JF alinishirikisha na kunielewesha vizuri nikaelewa. Pia aliwahi kuweka thread humu ndani ya jinsi wananchi wanavyoibiwa pesa nyingi kupitia compensation plan ya hizo kampuni....A studied and a proved report internationally ilieleza A to Z on the dirty little secrets about these companies. Wananchi walipiga kelele sana....Hio thread ikafutwa....Ila kama unataka mkanda wote we ni PM ntakuonyesha. Unahitaji akili ya ziada katika kuchagua kampuni thabiti na nzuri ya kufanya nayo kazi......And we have a proven and successful formula on doing this....Yeyote atakae fata formular hiyo hufanikiwa kwenye Network Marketing (Biashara Ya Mtandao) kabisa.

Goodluck my friends & Thanks in Advance
 

I agree network marketing is a valid business but not all companies are valid !!
...Niliwahi kua FLP but nikajitoa sababu Hii kampuni na nyngne nyingi zinawaibia sana wananchi.....kupitia compensation plan zao....zimekaa vibaya mno, zimebanwa sana kiasi kwamba wewe uta fail from the very beginning. Na nina mifano hai na solid envidence (USHAHIDI WA KUTOSHA)....Jamaa flan hivi humu JF alinishirikisha na kunielewesha vizuri nikaelewa. Pia aliwahi kuweka thread humu ndani ya jinsi wananchi wanavyoibiwa pesa nyingi kupitia compensation plan ya hizo kampuni....A studied and a proved report internationally ilieleza A to Z on the dirty little secrets about these companies. Wananchi walipiga kelele sana....Hio thread ikafutwa....Ila kama unataka mkanda wote we ni PM ntakuonyesha. Unahitaji akili ya ziada katika kuchagua kampuni thabiti na nzuri ya kufanya nayo kazi......And we have a proven and successful formula on doing this....Yeyote atakae fata formular hiyo hufanikiwa kwenye Network Marketing (Biashara Ya Mtandao) kabisa.

Goodluck my friends & Thanks in Advance

I can or cannot agree with you, Hii biashara si ya kukurupukia ama kufikiria pesa chapchap, hii yahitaji uwe na moyo wa kusaidia watu ndipo manufaa huja katika kusaidia kwako huko, fikiria watu na mahitaji yao, shida zao kwanza, its a people centered business, enough numbers of people you help succeed the more you succeed, I'm talking of the system and not Company, nimelfanyia utafiti wa kutosha tu. Its not a bad idea if we meet and exchange notices.
 
This is unique opportunity for those who like to learn from winners and successful people in the Network Marketing , John E. FLP Africa Top Distributor is in Dar and tomorrow will give special presentation of how he made over 260,000 US$ as Profit Share,
Venue: Belmonte Hotel Mkapa Towers, Posta,
Date: 19/07/2012
Time: 2pm
Entrance: 10, 000/- (Limited spaces, book early to avoid unnecessary inconveniences)
Call: +255716927070 for booking.


http://www.flpg.de/fileadmin/user_upload/Download/ViennaTraining/John_Ekperigin_v02.pdf

Forever Testimonial | John & Justina Ekperigin (Nigeria) - YouTube


View attachment 59155


About John E.
Before he got into this business, he was a lecturer for over twenty years, with two master degrees (MSc and MBA) and his wife Justina was a practicing pharmacist for over twenty years. They worked hard in order to make their dreams come true but it was difficult to achieve financial freedom until we finally met the opportunity that was real.

Sasa malipo ni ya nini iwapo unataka watu wajue ni jinsi gani huyo jamaa alifikia hatua hiyo ya kupata kiwango hicho cha pesa? Kama issue ni kuwaelimisha basi huhitaji kuwalipisha vinginevyo nayo tuiite ni ujasliamali. Yaani kwa kiingilio wewe unapata kula, kuishi na kutunza familia yako. Kweli ujasliamali wakati mwingine inabidi usiwe mtu wa kufikiria in 3DIMENSIONS
.
 
I can or cannot agree with you, Hii biashara si ya kukurupukia ama kufikiria pesa chapchap, hii yahitaji uwe na moyo wa kusaidia watu ndipo manufaa huja katika kusaidia kwako huko, fikiria watu na mahitaji yao, shida zao kwanza, its a people centered business, enough numbers of people you help succeed the more you succeed, I'm talking of the system and not Company, nimelfanyia utafiti wa kutosha tu. Its not a bad idea if we meet and exchange notices.

Mi nafkiri tunapishana lugha ndugu....Mimi najua fika network marketing ni nini, iko vipi na inafanyaje kazi. Huhitaji kunielewesha coz ninaijua kuliko unavyofkiria.....Mimi ninacho criticise ni ule mfumo wa malipo sasa....Huo mfumo ndo umekaa vibaya...Jinsi zile bonus plan and the way of compensating people. The network marketing field is amazing and very good....The rules of the game in your company and other companies ziko tite sana and very hard to encourage duplication...kiasi kwamba lots of people don't make it (They don't succeed, only a few succeed). Hii inafanya watu wachukie network marketing na kujenga mawazo kwamba ni Ponzi scheme, pyramid scheme, sijui deci etc. Which is very wrong. In my company the rules of the game are very unique, easy to duplicate and understand and friendly in the whole network marketing industry. Which makes us some sort of a monopoly so far (Inatufanya tusiwe na mshindani mpaka sasa)....Compensation plan yetu ina gurantee ya mtu kutengeneza kipato kisicho na kikomo na kinachodumu kwa muda mrefu......Istoshe hakuna kampuni duniani imeshawahi kuwalipa watu wake mpaka kiasi cha $ 8, 500,000, 000 kwa mtu mmoja (kiasi cha kama Billion 13 za kitanzania kwa mtu mmoja kwa kazi aliyoifanya). Hakuna kampuni duniani iliyowahi kulipa walau mtu wake mmoja kiasi kama hicho, HAKUNA !!....na wako wengi wanaolipwa kwa viwango vikubwa. Sasa hebu niambie hiyo forever living inalipa watu wake pesa kidogo alaf kwa kazi inayobana watu wake at the same time. Binafsi siwezi jihusisha na kampuni ya namna hiyo. Kabla ya kujiunga na hizi kampuni hebu tulia na ufanye uchunguzi kwa kina. Utajua mambo mengi sana !!

Thanks.
 
Mi nafkiri tunapishana lugha ndugu....Mimi najua fika network marketing ni nini, iko vipi na inafanyaje kazi. Huhitaji kunielewesha coz ninaijua kuliko unavyofkiria.....Mimi ninacho criticise ni ule mfumo wa malipo sasa....Huo mfumo ndo umekaa vibaya...Jinsi zile bonus plan and the way of compensating people. The network marketing field is amazing and very good....The rules of the game in your company and other companies ziko tite sana and very hard to encourage duplication...kiasi kwamba lots of people don't make it (They don't succeed, only a few succeed). Hii inafanya watu wachukie network marketing na kujenga mawazo kwamba ni Ponzi scheme, pyramid scheme, sijui deci etc. Which is very wrong. In my company the rules of the game are very unique, easy to duplicate and understand and friendly in the whole network marketing industry. Which makes us some sort of a monopoly so far (Inatufanya tusiwe na mshindani mpaka sasa)....Compensation plan yetu ina gurantee ya mtu kutengeneza kipato kisicho na kikomo na kinachodumu kwa muda mrefu......Istoshe hakuna kampuni duniani imeshawahi kuwalipa watu wake mpaka kiasi cha $ 8, 500,000, 000 kwa mtu mmoja (kiasi cha kama Billion 13 za kitanzania kwa mtu mmoja kwa kazi aliyoifanya). Hakuna kampuni duniani iliyowahi kulipa walau mtu wake mmoja kiasi kama hicho, HAKUNA !!....na wako wengi wanaolipwa kwa viwango vikubwa. Sasa hebu niambie hiyo forever living inalipa watu wake pesa kidogo alaf kwa kazi inayobana watu wake at the same time. Binafsi siwezi jihusisha na kampuni ya namna hiyo. Kabla ya kujiunga na hizi kampuni hebu tulia na ufanye uchunguzi kwa kina. Utajua mambo mengi sana !!

Thanks.

Kaka hapo nakubaliana nawe 100% the hardest part is geting a genuine network company
I would like if u can PM me the data on how to select a good company & any company unayoweza kui-recomend kwetu tupendao maendeleo na sio wizi wa kitapo chetu kidogo
 
Mi nafkiri tunapishana lugha ndugu....Mimi najua fika network marketing ni nini, iko vipi na inafanyaje kazi. Huhitaji kunielewesha coz ninaijua kuliko unavyofkiria.....Mimi ninacho criticise ni ule mfumo wa malipo sasa....Huo mfumo ndo umekaa vibaya...Jinsi zile bonus plan and the way of compensating people. The network marketing field is amazing and very good....The rules of the game in your company and other companies ziko tite sana and very hard to encourage duplication...kiasi kwamba lots of people don't make it (They don't succeed, only a few succeed). Hii inafanya watu wachukie network marketing na kujenga mawazo kwamba ni Ponzi scheme, pyramid scheme, sijui deci etc. Which is very wrong. In my company the rules of the game are very unique, easy to duplicate and understand and friendly in the whole network marketing industry. Which makes us some sort of a monopoly so far (Inatufanya tusiwe na mshindani mpaka sasa)....Compensation plan yetu ina gurantee ya mtu kutengeneza kipato kisicho na kikomo na kinachodumu kwa muda mrefu......Istoshe hakuna kampuni duniani imeshawahi kuwalipa watu wake mpaka kiasi cha $ 8, 500,000, 000 kwa mtu mmoja (kiasi cha kama Billion 13 za kitanzania kwa mtu mmoja kwa kazi aliyoifanya). Hakuna kampuni duniani iliyowahi kulipa walau mtu wake mmoja kiasi kama hicho, HAKUNA !!....na wako wengi wanaolipwa kwa viwango vikubwa. Sasa hebu niambie hiyo forever living inalipa watu wake pesa kidogo alaf kwa kazi inayobana watu wake at the same time. Binafsi siwezi jihusisha na kampuni ya namna hiyo. Kabla ya kujiunga na hizi kampuni hebu tulia na ufanye uchunguzi kwa kina. Utajua mambo mengi sana !! Thanks.
Is dat true?
Camin kama kuna makampuni ya desing hiyo yenye mbinu tofaut
 
Back
Top Bottom