Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wanajukwaa napata hiz machine kwa bei gani? Kama kuna mtu anajua bei zake anijuze, Multpurpose coppier, Scaner, Printer, Lamination and Binding.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ninampango wa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji kwenye eneo la ekari kumi kuanzia 2013. Sehemu nitakayochimba kisima haina umeme nategemea kutumia solar kuvuta maji chini ya ardhi. Mazao ya...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Salaaaam... naomba ushauri, nataka kuanzisha kampuni ya kuandaa,kutengeneza na kusambaza kazi za muziki/sherehe/matukio/documentaries n.k kwa hatua maana sina uzoefu wa kazi hii. hatua tya kwanza...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau JF Heshima mbele, Naomba mwenye uzoefu wa biashara ya mazao toka mikoani mahindi,mpunga,kunde,alizeti!anisaidie nafanya utafiti nami niingie humo!naomba mwongozo wadau!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalam wana jf. Niombeni mwenye kuku wa kienyeji ambao hawajachanganywa(cross breeding) nawahitaji kwa ajili ya kuwafunga na pia majogoo 3 makubwa. sifa: 1: Wawe awajataga ila wako karibu na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna mtu anajua sehemu inapopatikana miguu ya kuku "fresh"(iwe kienyeji au wa kisasa) kama tani 1-2 kwa wiki?Au kuna mtu wa ku-supply hii order kwa wiki,ntaomba na bei yake kwa tani...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Chukua haya matatu kutoka kwake! 1."Listen to your guts no matter how good something sounds on paper" 2."You are generally better off sticking with what you know" 3."Sometimes your best...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jamvi! Naombeni ushauri juu ha huu ujasiriamali ninaotarajia kuingia,ushauri wenyewe ni juu ya ethics mbalimbali juu ya kuwa MC, Kwasababu ninalengo la kumiliki na vyombo yaani mziki...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
ninaishi maeneo yenye barabara za vumbi lakini si mbaya sana
0 Reactions
68 Replies
12K Views
Wakuu habari zenu, mimi ni mwanafunzi wa chuo. Kwa sasa nipo hapa Dar-es-salaam. Nina Biashara ya bodaboda na nimeifanya kwa muda wa miezi mitatu sasa. Nahitaji kuongeza ya pili, binafsi nina...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Wadau naomba ushauri,nimefanikiwa kupata kiasi hicho cha pesa hapo juu, je nibiashara gani inayoweza kunizalishia ili niuepuke umaskini?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yeyote anayehitaji research assistance ya level zote ya shule au hata ya biashara ni PM tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar zenu wanajamvi.? Nimefikiria biashara ya kusafirsha ndizi kutoka mbeya kuleta dar hivyo nilikuwa naomba ushaur toka kwa wazoefu ktk mambo yafuatayo: mkungu mmoja mbeya unauzwaje? Gharama ya...
2 Reactions
6 Replies
10K Views
Habar wadau wa jf nauza till ya tigo pesa kwa shilingi laki saba (700,000) kwa mawasiliano zaidi 0682933868
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani wajasiria mali naitaji kukodi shamba hekari mbili mkoan dar or wilaya zilizo karibu na dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau katika harakati za kuchunguza biashara ya kuanzisha na haka kamtaji kangu kadogo,nimekutana na wazo la kusafirisha mabanzi kutoka mafinga iringa kupeleka dar au dodoma,nimechagua mikoa hii...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau, siku zote naamini watu wengi wamefeli kweny biashara sababu walifanya biashara kisa tu kuna baadhi ya watu ziliwatoa, naamini kila mtu anakua na kitu moyoni mwake na kama ukikifata...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wadau nimefanikiwa kupata na kumiliki ardhi ya ekali 8. Sasa naomba msaada wenu wa kimawazo namna kuitumia ipasavyo ili niweze kuuepuka umaskini.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Natafuta tenda ya kulisha maofisini na viwandani malipo ni maelewano kwa siku,wiki au mwezi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa Raymond Mpendwa, kijana mjasiriamali wa kitanzania. Ningependa kuitangaza Wapendwa Massage Center kwenye Blog yako. Sisi Wapendwa ni muunganiko wa vijana wajasiriamali wa kitanzania ambao...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom