Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

habarini . Nahitaji kiasi cha laki nne (400,000) . kwa ajili ya kuongezea kufikia mtaji ambao utaweza kuanzishia biashara ninayohitaji kuifanya hivyo basi ,nina photocopy mashine (canon NP1215)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jamvi wenzangu, leo nimeona nije na jambo la kushare nanyi kwani nimeona wajasilia mali wenzangu wakiongelea biashara na ujuzi wao waliokuwa nao na kushare nanyi, nawapongeza wote kwa...
3 Reactions
2 Replies
5K Views
NAOMBA MSAADA WAKO MWANAJF: Habari wanaJF wenzangu, kwa kipindi sasa nimepitia nyuzi nyingi na kuzisoma, nimekuwa najifunza fursa nzuri kabisa ya ufugaji wa kuku, ila ningependa kupata elimu juu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi juzi nimeenda CRDB bank kuomba mkopo, ile ya wafanyakazi, baada ya kusikia wameshusha interest rate toka sijui ngapi hadi 17 or 18 (sikumbuki vizuri). Nilipofika nikapokelewa vizuri na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wan Jf. Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu Kuna watu wamekuwa wakiniulizia ideas za biashara lakini wakiwa na mitaji midogo chini ya 500,000 sasa nimeona ni share ideas chache nilizonazo ili vijana wengi waweze kujiajiri na...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Mfano mtu ana mtaji wa laki5,anaweza fanya biashara gani ambayo itamuwezesha kuongeza mtaji huo had kufika labda milion 5 hivi.na kwa kukadirika itachukua muda gani.naombeni ushauri na mawazo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa hapa dar ni yad gan wanauza gari nzuri in cheap price plz
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina Sh laki tano. Naomba ushauri nifanye biashara gani ili NITOKE!
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari Kwa anayejua wapi naweza nunua mifuko tupu ile ya viroba aka sulphate kwa jili ya kufungashia bidhaa zangu, anipe mawasiliano.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Me ni kijana. Wa miaka 26 Naomben msaada wenu natumai mtani saidia Nina shilingi milion 2 je hizi hela zitafunguwa kitega uchumi kipi ili kini lete faida wakwabwa natumai mtanisaidia na mawazo
0 Reactions
0 Replies
875 Views
hivi ukutaka kuwa wakala wa tigo pesa,inagharimu kiasi gani, na mpesa inagharim kiasi gani, airtel pia,?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wajasiliamali wanaonata kujikita kwenye mambo ya utendenezaji na kudisign kadi mbalimbali za mialiko ya harusi, send off, kitchen party, maulidi, kipaimara unaweza kunicheck kwenye namba 0718...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Nina mafuta ya alizet nimelima na kukamua mwenyewe natafuta Mteja au kwa anaejua wapi naeza enda kuwauzia please anisaidie.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, wakati wengi wakiendelea kutafuta mitaji ya biashara nimeona si mbaya kama tukipeana riziki. Nina deals mbili kama ifuatavyo: 1 - Nahitaji mtu binafsi wa kunikopesha kiasi cha milioni 100...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mimi ni kijana niliyemaliza form six, nimepata kamtaji shilling milioni moja, nataka kufanya biashara, ila mpaka sasa sijui nifanye biashara gani, naombeni ushauri wenu wanajamvi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndg wana jf,hivi karbuni nimepata sh laki saba ni zaidi ya mwezi sasa..najiuliza niifanyie biashara gani? Naishi kigamboni dar and am 22yrs. Nisaidieni jaman niko siriaz 100%.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu kuna fremu zinapangishwa Morogoro. Ziko 5 mahali pamoja - ingawa moja imeishachukuliwa na imeanza biashara tayari. Fremu ziko maeneo ya B-Z hotel. Actually, ziko eneo kati ya B-Z na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom