habarini . Nahitaji kiasi cha laki nne (400,000) . kwa ajili ya kuongezea kufikia mtaji ambao utaweza kuanzishia biashara ninayohitaji kuifanya hivyo basi ,nina photocopy mashine (canon NP1215)...
Habari wana jamvi wenzangu, leo nimeona nije na jambo la kushare nanyi kwani nimeona wajasilia mali wenzangu wakiongelea biashara na ujuzi wao waliokuwa nao na kushare nanyi, nawapongeza wote kwa...
NAOMBA MSAADA WAKO MWANAJF:
Habari wanaJF wenzangu, kwa kipindi sasa nimepitia nyuzi nyingi na kuzisoma, nimekuwa najifunza fursa nzuri kabisa ya ufugaji wa kuku, ila ningependa kupata elimu juu...
Juzi juzi nimeenda CRDB bank kuomba mkopo, ile ya wafanyakazi, baada ya kusikia wameshusha interest rate toka sijui ngapi hadi 17 or 18 (sikumbuki vizuri). Nilipofika nikapokelewa vizuri na...
Habar wan Jf.
Nimefurahi kufika kwenye jukwaa hili. Nachohitaji ni msaada wa mawazo. Mi nimemaliza Bachelor mwaka jana, but mpaka leo ajira kwangu ni ndoto kuipata. Nimeamua kuwazia biashara...
Habari zenu
Kuna watu wamekuwa wakiniulizia ideas za biashara lakini wakiwa na mitaji midogo chini ya 500,000 sasa nimeona ni share ideas chache nilizonazo ili vijana wengi waweze kujiajiri na...
Mfano mtu ana mtaji wa laki5,anaweza fanya biashara gani ambayo itamuwezesha kuongeza mtaji huo had kufika labda milion 5 hivi.na kwa kukadirika itachukua muda gani.naombeni ushauri na mawazo...
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu...
Me ni kijana. Wa miaka 26
Naomben msaada wenu natumai mtani saidia
Nina shilingi milion 2 je hizi hela zitafunguwa kitega uchumi kipi ili kini lete faida wakwabwa natumai mtanisaidia na mawazo
Kwa wajasiliamali wanaonata kujikita kwenye mambo ya utendenezaji na kudisign kadi mbalimbali za mialiko ya harusi, send off, kitchen party, maulidi, kipaimara unaweza kunicheck kwenye namba 0718...
Habari, wakati wengi wakiendelea kutafuta mitaji ya biashara nimeona si mbaya kama tukipeana riziki. Nina deals mbili kama ifuatavyo:
1 - Nahitaji mtu binafsi wa kunikopesha kiasi cha milioni 100...
habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman
mimi ni kijana niliyemaliza form six, nimepata kamtaji shilling milioni moja, nataka kufanya biashara, ila mpaka sasa sijui nifanye biashara gani, naombeni ushauri wenu wanajamvi.
Ndg wana jf,hivi karbuni nimepata sh laki saba ni zaidi ya mwezi sasa..najiuliza niifanyie biashara gani?
Naishi kigamboni dar and am 22yrs.
Nisaidieni jaman niko siriaz 100%.
Wakuu kuna fremu zinapangishwa Morogoro.
Ziko 5 mahali pamoja - ingawa moja imeishachukuliwa na imeanza biashara tayari. Fremu ziko maeneo ya B-Z hotel. Actually, ziko eneo kati ya B-Z na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.